Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakua sheria ya ugaidi inatambua ndevu kama ishara ya ugaidi, huyu
jamaa kwa mujibu wa hiyo sheria tayari ni gaidi, watuhumiwa wote wa ugaidi ambao wamewahi kukamatwa na kufikishwa mahakamani duniani kote huwa wanatabasamu na hii ni kwa sababu huwa hawajutii waliyafanya, kama mnavyoona picha ya hujamaa anavyotabasamu. lkn kuhusu mauaji ya padri tuaichie mahakama ifanye kazi yake ukweli utajulikana.
Inapokuwa mkristo kama LWAKATARE kakamatwa mnapinga kuwa ni mambo ya kisiasa, akikamatwa Mwislamu haraka mnasema ni siasa.
kwakua sheria ya ugaidi inatambua ndevu kama ishara ya ugaidi, huyu
jamaa kwa mujibu wa hiyo sheria tayari ni gaidi, watuhumiwa wote wa ugaidi ambao wamewahi kukamatwa na kufikishwa mahakamani duniani kote huwa wanatabasamu na hii ni kwa sababu huwa hawajutii waliyafanya, kama mnavyoona picha ya hujamaa anavyotabasamu. lkn kuhusu mauaji ya padri tuaichie mahakama ifanye kazi yake ukweli utajulikana.
Muuaji anayeua taifa la Mungu aliye hai!!
kwanini FBI wamchore yeye?? kati ya mamilioni ya watu wote tanganyika na zanzibar?? kwanini yeye??? halafu sasa sio yeye?? kuna nini hapa?
Naona dpp na polisi wamegeuka mawakili wake wanamtetea
Yuko salama kwenye mikono ya mfumo ISLAMU!!!
ni kwanini anatabasamu hivyo? Na alikuwa jela? Ukama nimeonewa kuwekwa jela kweli machozi yangekuwa yananibubujika; au ni vingine? Scary!!!
hao bwana ndio itikadi kali.Kama sikosei huyo jamaa alihukumiwa kifo lakini alitoka mahakamani hivyohivyo anacheka.





Huyu ni yule aliyekuweka kinyumba hapo ulipo ! Haya ni majaribu, usimtupe mwenzio !
Kombo nadhani unaendelea kukusanya majibuFBI wamesaidia huo shoga kukamatwa sasa ngoja uone mauza uza ya serikali yetu juu ya kuogopa waislamu.Naudhika sana na hii situation aisee.
Unamtetea huyo alqaeda/uamsho/bokoharam/alshabab? Kwa hili utaniita upendavyo nawe ila tungepewa rukhsa tukamtawanya tu na kaburi lake lisijulikane