David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Muna Love Kaokoka anampenda YesuHuyo Muna si nasikia kamuaidi bi tukinao atampeleka kwa mganga mkali ili domo amuoe
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muna Love Kaokoka anampenda YesuHuyo Muna si nasikia kamuaidi bi tukinao atampeleka kwa mganga mkali ili domo amuoe
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mmmh sawa[emoji848]Muna Love Kaokoka anampenda Yesu
Last week kili alimuanika odemba mhh..ila amefuta nw...chanzo odemba anamuonea wivu kili.anamsema jwa watu amenchukulia nyota hana mabwana wa maana..na mambo ua ushirikina...yaan aibu ukisomaKwani washagombana!???
Lakini akiingizwa inaingia si ndiyo? Wewe ni mrefu una nini cha maana?Ila Muna ni mfupi jamani
Hadi Zari kamzidi urefu
Ila unaboa uambiwe ukweli kila mtu unamfuatilia kama hao ni watoto wako vile anzisha familia uwafuatilie mtu unakuta anahangaika na maisha yake unamfuatilia sana kama hii jamii forum ni yakwenu au ya babaako .Juhudi za kujiuliza nina mali kiasi gani ziweke kwenye kutafuta mali zako
Kama nakuboa kindly ignore me
Hiyo option ipo humu JF
Asante
Kwa hiyo maisha yangu ni yako ndio maana unayafuatilia 🙄Ila unaboa uambiwe ukweli kila mtu unamfuatilia kama hao ni watoto wako vile anzisha familia uwafuatilie mtu unakuta anahangaika na maisha yake unamfuatilia sana kama hii jamii forum ni yakwenu au ya babaako .
Nitaku block kweli kwa maana unakera ndio maana nilikuambia na sintonyamaza kama ukiingilia maisha ya mtu bila sababu yamsingi
Wewe ndio nakukeraga sana halafu wewe ndio unanifuatiliaga sio mim aisee wala sikujuagi na wala sinaga mpango na wewe kabisa acha kufuatilia watu.Kwa hiyo maisha yangu ni yako ndio maana unayafuatilia 🙄
Niblock kweli
Harufu ya unga wa muhogo....hii hasa ndo main deal
Mwendazake mbanaji si kashasepa yaan[emoji134][emoji134]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mjini mipango.Hiyo form 4 failure umempendelea,huyo ni la Saba bwana, according to maelezo ya familia yake, hakuwah kwenda secondary maisha yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ni deal done.Wangari Maathai , cocastic , financial services, Saint Anne na wengineo
Nani yupo tayari nasi tuunde crew ya kulala makaburini tuolewe na mamilionea[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]