Chungchung changchang
Member
- Oct 15, 2021
- 64
- 80
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwanaCCM mwenzenu huyo, kada wa LumumbaJamaa lilikuwa linapora fedha ili liendelee kushikilia hii pisi sio??!...imekula kwake huyu jenerali sabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama jambaziMke wa jambazi
BAK we humtaki nikupe konection?Ebanaaaaa ni mrembo hasa. Yule mhuni hakustahili kuwa na binti mrembo hivi. Bora tu mvua zimnyeshee na huyu binti apate mtu wa maana mtu aliyetulia si dhalimu kama yule mhuni.
Unazinguajidanganye......View attachment 1976291
Siku zinakimbia sana 😬
Wewe jamaa mbona unanitukana kila siku humu..mimi na CCM lumumba wapi na wapi??..MwanaCCM mwenzenu huyo, kada wa Lumumba
BAK we humtaki nikupe konection?
Unaeza kuta issue yake mbovu au ana harufuuu
Huna namba kaka mkubwa..?😜😂
Mkuu pesa unayo? Huyu ameachiwa nyasi za kutosha kaambiwa avumilie ni dwala la mudaHuyu lazima nimtafute nimtandike UDUDU
Hapana insta kuna video akiwa na mama yake mahakamaniHii picha umedownload TikTok ya mnyarwanda
Huenda utetezi ulikua sahihi.
Kabisa Kitu Kipo Cha KujadiliHuenda utetezi ulikua sahihi.