Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mkwe uko wapi nije kukutembelea soon[emoji1]She's beautiful as my daughter,
Mkuu kiswahili nimejifunza ukubwani tena tuisheni...hupo! Wakati unamuona, au unamaana kumbe upo...
Eti nasi tunajua kiswahili!
Jambiani! Acha umende.Nimeiona tweet yake anasema ati ajitunze amsubiri mpaka atakapotoka 😆😆
Jamani mwenye namba niko tayari kwa bei yoyote nikapumzike nae huko Jambiani.
Duh..bonge la lupo...mku.ndu Safi....sasa jamaa lilikua na hili demu ..vipi sasa likawa linapora wake za watu! Au lilipora na huyu likachumbia kabisa...huyu ukimpata unapiga shipa Hadi nyuma ..ili kumwadhibu zaidi jambazi anayenyea Debe sasa...
Hakuna hukumu kubwa zaidi ya sate years Mkuu kwa kesi zilizobaki labda kufilisiwa tu.Nawakumbusha tu ,Kesi ya leo ni ya Ujambazi wa kutumia Silaha bado kesi nyingine inakuja tarehe 18 Oct ya Uhujumu uchumi na Utakatishaji Fedha.
Huenda hupajui Jambiani Beach Zanzibar.Jambiani! Acha umende.
Chuma mthupuuuiMupe......Muruke.....View attachment 1975521
Ni kabila gani hii pisi?Kausha huyu dem nimesoma nae lazima nimgegede haki ya nani saiv yupo Arusha tunaish nae hapa njiro
Weka picha yake hapa tusaminishe [emoji15][emoji15][emoji15]Ahsante Kwa taarifa ila hajamzidi wa kwangu...
Amba lyoiShe's beautiful as my daughter,
.Uchumba official kama huo unakoma baada ya miaka mingapi?.
Tena inafaa apate mtu mwenye maadili kama vile mwalimuEbanaaaaa ni mrembo hasa. Yule mhuni hakustahili kuwa na binti mrembo hivi. Bora tu mvua zimnyeshee na huyu binti apate mtu wa maana mtu aliyetulia si dhalimu kama yule mhuni.
Asante na ninapajua vizuri kwa Zenj siyo ngeni kwangu ila wewe uliweka kifumbo.Huenda hupajui Jambiani Beach Zanzibar.