SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Hahah khaaa!!!Huna hata namba zake tumsaidie jamaa kumpiga mshipa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah khaaa!!!Huna hata namba zake tumsaidie jamaa kumpiga mshipa!
Kwahiyo atakuwa anampelekea ole food kwa magereza au!?
Afu mwenye namba ake anipe na mimi😎
Huna namba kaka mkubwa..?😜😂Soma hiyoooooo! We injinia EBO!!! Soma hiyoooo.
😂😂😂😂😂 Ni aje kwani Best!?
Huna namba kaka mkubwa..?😜😂
Mbona holaaaaa😝Hahahahahaha nimehangaika mtandaoni japo kupata jina lake tu HOLAAAAA! 🤣🤣🤣🤣
Hapana buanaa,nammezeaje pisi ya ole?Nawe Umemeza Funda La Mate
Jana kitaaa ni kulewa tu agggggrrr,Hahahahahaha nimehangaika mtandaoni japo kupata jina lake tu HOLAAAAA! 🤣🤣🤣🤣
Jana usiku sehemu nyingi chuga bia zilikata, mamaae
Nimerudi nazo home nazitandika hapa mammaee😂😂😂😂 si ajabu hapo bado uko mbwiiii!
Daah!wazambuli watamgawana kama karanga
Kama namuona vile binamu yangu Shunie anavyotamani yeye ndo angekuwa pisi kama hivi....
Pisi ya kwenda kabsa hii