ndio maana nataka tusisitize watu wapige kura, hakuna wa kuiba jamani!!!!!
mkuu mnkjj toka jana tumekuelewa sana. Lets be positive kuwa upo umuhimu wa kujipanga kusismamia mchakato mzima wa upiugaji, uhesabuji na utangazaji wa matokeo lakini tusiwek mbele suala la kura kuibiwa kwa kuwa tunaweza kuwakatisha tamma wapiga kura.