Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa kumbe! Sasa unaposema huyu bwana hafurukuti nyumbani ulikuwa na maana gani?Hata mimi huwa na msaidia yf on some stuff...
Basi, kama ulikuwa na maana hiyo kwenye mawazo yako, ulitumia vibaya neno 'hafurukuti'.Labda ungesema hivi😛amoja na machachari yake mengi kumbe Mwigulu ni mpole nyumbani kwake.Nilidhani hawez fanya fanya mambo kama haya!
Basi, kama ulikuwa na maana hiyo kwenye mawazo yako, ulitumia vibaya neno 'hafurukuti'.Labda ungesema hivi😛amoja na machachari yake mengi kumbe Mwigulu ni mpole nyumbani kwake.
Anafyatua gaidi mwingine
Mimi nimeelewa hivi: Kwani yeye ni ndugu yako nini?Duh,kwan wewe ni ndungu yako nini?
Sorry@KISHINDO, umetoka nje ya mada, tena sana tu!Nadhani mtoto akikataa kunywa uji jamaa atamnyonyesha coz naona ana matiti makubwa tu.
Mimi nimeelewa hivi: Kwani yeye ni ndugu yako nini?
Jibu langu kwa kifupi ni hili: Mimi namsikia na kumwona kwenye picha tu. Hanijui, simjui, yeye ni mnyiramba mimi mchagga.