Pre GE2025 Picha: Mzee Mpili kwenye iftar na Rais Samia Ikulu

Pre GE2025 Picha: Mzee Mpili kwenye iftar na Rais Samia Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Machi, 2025.

Soma: Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu

IMG_3374.jpeg


IMG_3376.jpeg


IMG_3377.jpeg
 
Back
Top Bottom