Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Maisha yetu watanzania wengi ni yaleyale tu, sema asilimia kubwa wengi tunajisahau mtu akivuka hatua fulaniMaisha ni safari ndefu
Pichani Mheshimiwa Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akiwa bado mdogo
Hongera sana Mheshimiwa kwa kuchapa kazi
Source: Her Facebook Page
View attachment 1901100
17 alikuwa anaombolezaMaisha marefu kwake. Mbona yuko kimya sana huyu mwanamke?
Ilikua enzi ya mwendazake sasa hivi ni tamthiliya inaitwa KapuniMaisha marefu kwake. Mbona yuko kimya sana huyu mwanamke?
Mh.Naibu Spika ana SURA YA UTULIVU WA KIAKILI toka akiwa mdogo......Maisha ni safari ndefu
Pichani Mheshimiwa Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akiwa bado mdogo
Hongera sana Mheshimiwa kwa kuchapa kazi
Source: Her Facebook Page
View attachment 1901100
Ulitaka awe anapiga kelele???.Maisha marefu kwake. Mbona yuko kimya sana huyu mwanamke?
Hakuna wapinzani bungeni!Maisha marefu kwake. Mbona yuko kimya sana huyu mwanamke?
Brain ipi iyo mkuu? Na beauty labda wewe kipofuBeauty with brain. Kiukweli huwa namkubali alivyo natural, angekulia marekani angekuwa model