Picha - Nairobi ilivyokua miaka ya 60

Picha - Nairobi ilivyokua miaka ya 60

wakenya bn sijui wanaonaga watu maboya sn ?!!!
615b9c0dcda702ca1cbf8e62f892ee5e.jpg


Moi Avenue ya wakati wa mzungu
Government-Road-Nairobi.jpg



Moi Avenue ya leo
the-ambassador-hotel-on-moi-avenue-in-nairobi-kenya-picture-id128546693



Kenyatta avenue, wakati ikiitwa Delamere avenue
6th-Avenue-Nairobi.jpg


Kenyatta avenue ya leo
11453823.jpg
 
Kumbe maandishi makubwa kwenye plate number za gari mlianza kutumia toka kitambo!!!!
hapo huwa nachoka kbs plate no zao yaani zipo hvyo kbs ...ukitazama plate namba zote kuanzia ug,tz,bur,rwnd za kwao tu ndo hvyo kbs maandishi makubwa yasiyo ba mvuto hta kidogo sijui watabadilika lini hawa ndg ztu
 
hapo huwa nachoka kbs plate no zao yaani zipo hvyo kbs ...ukitazama plate namba zote kuanzia ug,tz,bur,rwnd za kwao tu ndo hvyo kbs maandishi makubwa yasiyo ba mvuto hta kidogo sijui watabadilika lini hawa ndg ztu
Kazi ya nunber plate ni nini? Si ni namba ziweze kuonekana kiuhakika? Kwani inabadilisha 'engine', muundo wa gari au uwezo wa dereva kuendesha gari lenyewe?
 
If you read in between the lines this tanzanians are finally owning up to the fact that we keep beating them ten nil,na wivu ndio wamejaza[emoji16][emoji16]
 
If you read in between the lines this tanzanians are finally owning up to the fact that we keep beating them ten nil,na wivu ndio wamejaza[emoji16][emoji16]
Ile kauli yao ilisha badilisha gia angani pia. Sasa hivi imekuwa # Hapa kazi duh!
 
Aerial View of Nairobi in 1935
SC20180213-212806-1.jpg


Top view is Railway then you can see Moi Avenue, Archives, Kenyatta Avenue, Tom Mboya and Biashara street.
 
Hawana walichoongeza hao
Do some research on this topic wacha kutumia akili kama kofia na pia internet siyo ya pornography peke yake... Unadhihirisha ujinga wa waTanganyika na kudhalilisha nchi yako.
 
kumbe namba zionekane tu bc anzeni kuchora kwa mkaa tu zitaonekana vzr kbs
LDC mtatuelimisha nini wakati hata barabara na magari hamna. Tz ni nchi mojawapo Masikini wa kutupwa duniani level moja na Somalia, Afghanistan, newly formed South Sudan(angalia mitandaoni Kama S. Sudan ni LDC kama nyinyi).
 
Do some research on this topic wacha kutumia akili kama kofia na pia internet siyo ya pornography peke yake... Unadhihirisha ujinga wa waTanganyika na kudhalilisha nchi yako.
😀😀😀😀😀 ponoo ndo zao, wakimaliza wanawafata kina sijui zari na mobetto kule insta!
 
Mara nyingi nimewaona watu humu wakijiliwaza kwamba sababu za Kenya kuwashinda kimiundo mbinu ni kwamba mzungu aliwacha kama ameitengeneza. Sasa hizi hapa picha za jinsi mkoloni aliiacha, wenyewe tumeijenga Kenya bati kwa bati, tofali kwa tofali, mbao kwa mbao

Hii hapa barabara ya Mombasa-Nairobi miaka ile
thumb_otylcyxahkxwpuli5a802ad04b8a1.jpg


Picha ya ilivyo sasa
maxresdefault.jpg


Nairobi ya kitambo
thumb_eni7lw0wjm078ux1fu5a8029bc342b8.jpg


Nairobi ya leo
Nairobi_1237.jpg



Moi Avenue ya wakati wa mzungu
Government-Road-Nairobi.jpg



Moi Avenue ya leo
the-ambassador-hotel-on-moi-avenue-in-nairobi-kenya-picture-id128546693



Kenyatta avenue, wakati ikiitwa Delamere avenue
6th-Avenue-Nairobi.jpg


Kenyatta avenue ya leo
11453823.jpg
hiyo picha ya saopaul unasema Nairobi 😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom