The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Nitolee unafiki wako hapa fala gaidi shetani ma mguu mmoja. nyie mashetani pumzi haiwapi kibri kuwaua watu wasio na hatia ?!Pumzi inakupa kibri, so umauti ukikufika ndio utaongea vizuri.
Ni mtihani sheikh, ni bora angekausha tu akakubali matokeo
Ulikuja lini hukuMbona sehemu kama hizo hata hapa Tanzania zipo ? Ulishawahi kufika Brooke Bond kule Mufindi kwenye Kiwanda na mashaba ya Chai ?
Mwaka 2009 July 15, Mdogo wangu alikuwa anasoma pale Brooke BondUlikuja lini huku
Dah me ndo naishi huku.Mwaka 2009 July 15, Mdogo wangu alikuwa anasoma pale Brooke Bond
Kichwa yakoUnajamba au
Sisi mchawi wetu sisiemKuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu.
Switzerland [emoji1237] View attachment 2951903
Usichanganye Uswazi na UswisiSwaziland wanamazungira mengi mazuri nahisi kuzidi nchi zote ulaya.
Zile sura za wale wairan(majenerali) kule syria zilivyo hazina utu wala haki.Wee
Kafiri silimu ujue haki
Usiku na ndevu kapaka rangiUnatamani sana kuwa mwarabu
Anaja huyo sasa mbirr mbrr ndo nnπKichwa yako
unauzoefu na akili za watu wako bwnaAnaja huyo sasa mbirr mbrr ndo nnπ
Waanzilishi walikuwa wazungu sijui sasa hivi nasikia kampuni ya unilever ndio mmiliki.Nani mmiliki wa hayo mashamba ya chai
Ova
ππππ€£π€£π€£ Twende kule tuache uzi wa watuunauzoefu na akili za watu wako bwna
Unazungumzia ukitoka mitwelo mbele kuna seaview nzuri sana ikiwa imezungukwa na msitu nadhani ni reserve maana hapajajengwa ila Lindi hapo Mitwelo ni km 10 kutoka mjini ni makazi ya watu pamoja na kambi ya polisi nilishangaa usiku fisi wanalia karibu kabisa na nyumba niliyokuwemo!Lindi ni moja ya miji yenye ramani nzuri uliokosa muendelezo.Picha Sina mkuu kwenye hii simu ila ni mkoa wa lindi kama unavyojua bado haujajengeka mapori ni mengi so na mimi sijui nilipapendea nini kwenye ile hill iko above m 500 na upande wa mashariki unajioneA Bahar Kuu ambayo ukiwa Lindi town huion zaidi ya mkondo wa bahari picha nitajitahid nikutafutie.
Vile vile Makete (Njombe) kuna maeneo kama hayo.Mbona sehemu kama hizo hata hapa Tanzania zipo ? Ulishawahi kufika Brooke Bond kule Mufindi kwenye Kiwanda na mashaba ya Chai ?
Karatu-ArushaView attachment 2952104