PICHA: Nchi kama hii hata magonjwa utayasikia redioni tu

PICHA: Nchi kama hii hata magonjwa utayasikia redioni tu

Picha Sina mkuu kwenye hii simu ila ni mkoa wa lindi kama unavyojua bado haujajengeka mapori ni mengi so na mimi sijui nilipapendea nini kwenye ile hill iko above m 500 na upande wa mashariki unajioneA Bahar Kuu ambayo ukiwa Lindi town huion zaidi ya mkondo wa bahari picha nitajitahid nikutafutie.
Itabidi siku nkija lindi nkucheki mzee kimya kimya

Ova
 
Picha no tofauti na uhalisia, Hapo utakuta kuna mbu wengi sana, vijidudu vya magonjwa au hali ya hewa wa kutosha!
Kuna baridi kali sana kuanzia Desemba hadi Machi. Utatamani kurudi kwetu ambako nako ni kuzuri mno kama Lushoto, Muheza (hususan Amani na Magoroto) na Mwakaleli
 
20230101_173000.jpg
 
Pia Countryside na rural Norway, Scotland na Ireland ni breathtaking.

Fjords za Norway ni marvelous.

Highlands na castle za Scotland ni jaw dropping

Na green plains za Ireland ni awesome.
Dogo naona unaelezea experience yako katika harakati za kupiga boksi.

Safi sana.
 
Picha Sina mkuu kwenye hii simu ila ni mkoa wa lindi kama unavyojua bado haujajengeka mapori ni mengi so na mimi sijui nilipapendea nini kwenye ile hill iko above m 500 na upande wa mashariki unajioneA Bahar Kuu ambayo ukiwa Lindi town huion zaidi ya mkondo wa bahari picha nitajitahid nikutafutie.
NItashukuru sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom