Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
hiyo mandari kwa hapa bongo utakutana nayo mikoa kama Tanga,Morogoro,Iringa,Manyara,Kagera,Kilimanjaro n,k
Na mwanza pia umeisahau, mbeya vipi sheikh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo mandari kwa hapa bongo utakutana nayo mikoa kama Tanga,Morogoro,Iringa,Manyara,Kagera,Kilimanjaro n,k
Swaziland tena!Swaziland wanamazungira mengi mazuri nahisi kuzidi nchi zote ulaya.
Wee gaidi jilipue ukapewe mabilra 72Wee
Kafiri silimu ujue haki
Daaah, hatimae mkuu leo nimeona post yako, huwa naona unagonga like nyingi nyingi...Pesa za gas zinatumika vizuri kunufaisha raia wao
Chadema wataifanya Tanzania kua hiviKuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu.
Switzerland [emoji1237] View attachment 2951903
Wanaotuletea magonjwa ni wanawake. Kama huko wapo basi yaleyaleKuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu.
Switzerland [emoji1237] View attachment 2951903
Shida bongo wakiona umetulia watakuja kujenga krb yako mpk pafurike..wafuge bata wanye mtaa mzimaHata hapa bongo Kuna sehemu kama hizi
Pia Countryside na rural Norway, Scotland na Ireland ni breathtaking.Swaziland wanamazungira mengi mazuri nahisi kuzidi nchi zote ulaya.
hakika mikoa ni mingi,mwisho hapo nimeweka n,kNa mwanza pia umeisahau, mbeya vipi sheikh?
Hata Mbowe aliitwa gaidi. Mkiristo haswa.Wee gaidi jilipue ukapewe mabilra 72
Ndugu yangu wazungu ni kitu ingine, huwa wanafanya fumigation hadi porini wasikoishi watu.Picha no tofauti na uhalisia, Hapo utakuta kuna mbu wengi sana, vijidudu vya magonjwa au hali ya hewa wa kutosha!
Siku ya siku huyo anakufa na ukimuuliza utakufa lini hajui. Mali za wa Africa walizozichukua wakati wa ukoloniNdugu yangu wazungu ni kitu ingine, huwa wanafanya fumigation hadi porini wasikoishi watu.
Infact malaria wanaisikia Afrika tu.
Ni kweli yalichuma mali kutoka Afrika, lakini hata akili tu yanazo.Siku ya siku huyo anakufa na ukimuuliza utakufa lini hajui. Mali za wa Africa walizozichukua wakati wa ukoloni
najiulizaga wanavyoishi porini porini hvo hawahofii ujambazi/mauaji nk!magaidi wakiingia humo kuwamaliza!Kuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu.
Switzerland [emoji1237] View attachment 2951903
sitegemei kuona Maghayo kacheka hii post halafu Accumen Mo asije kutia neno.Imagine hapa ni Switzeland tu je mbinguni patakumaje ?!
oya we Malaria 2 nyie magaidi wa kupayuka alauakibaru na kujilipua mnapovuta picha peponi kwenu mnaona bikra 72 na pombe au vipi ?! maislamu hua ni majinga majinga sana
Unatamani sana kuwa mwarabuHata Mbowe aliitwa gaidi. Mkiristo haswa.
Silimu ndugu ukaishi maisha ya starehe baada ya kufa
Hata Mbowe aliitwa gaidi. Mkiristo haswa