Picha ni kumbukumbu nzuri, lakini wanaume tupunguze kujipost mitandaoni

Picha ni kumbukumbu nzuri, lakini wanaume tupunguze kujipost mitandaoni

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto, akiwa anaanza shule, kupata ubatizo na kipaimara, kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu nyumba,usafiri wako n.k Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri na ikawafikia maelfu ya watazamaji. Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
 
Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto,akiwa anaanza shule,kupata ubatizo na kipaimara,kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu.nyumba,usafiri wako n.k
Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri,na ikawafikia maelfu ya watazamaji.
Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
Upo sahihi
Huwa nashangaa
Mwanaume unajipost,unataka nn?
Post Biashara yako ili watu wakuunge mkono
 
Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto,akiwa anaanza shule,kupata ubatizo na kipaimara,kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu.nyumba,usafiri wako n.k
Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri,na ikawafikia maelfu ya watazamaji.
Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
Haina noma
Ila vipi wale akina ronaldo, wanavyojipost vipi sio wanaume ?
 
Kwanini tunaamini "Ninavyoishi mimi na wengine inabidi waishi hivyohivyo?".

Una uhakika utaratibu wako wa maisha unamfurahisha kila mtu?

Mtu anapiga picha 100 anajipost, sawa. Tueleze hapa pasi na shaka, anaathiri vipi shughuli zako za kila siku, anaathiri vipi familia yako, anaathiri vipi serikali yako?
 
Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto,akiwa anaanza shule,kupata ubatizo na kipaimara,kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu.nyumba,usafiri wako n.k
Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri,na ikawafikia maelfu ya watazamaji.
Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
Weka mfano
 
Kwanini tunaamini "Ninavyoishi mimi na wengine inabidi uishi hivyohivyo?".

Una uhakika utaratibu wako wa maisha unamfurahisha kila mtu?

Mtu anapiga picha 100 anajipost, sawa. Tueleze hapa pasi na shaka, anaathiri vipi shughuli zako za kila siku, anaathiri vipi familia yako, anaathiri vipi serikali yako?
Mwanaume unajipostpost unatafuta nini kwa wanaume wenzio unataka kupakuliwa chakula?
 
Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto,akiwa anaanza shule,kupata ubatizo na kipaimara,kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu.nyumba,usafiri wako n.k
Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri,na ikawafikia maelfu ya watazamaji.
Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
Hujasema hizo hasara nyingi kuliko faida, uzi hauna maana, Idiotic mumbo jumbo.
 
Back
Top Bottom