Picha ni kumbukumbu nzuri, lakini wanaume tupunguze kujipost mitandaoni

Picha ni kumbukumbu nzuri, lakini wanaume tupunguze kujipost mitandaoni

Salaam jamiiforum

Habari za jumapili hope mko wazima.

Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti.

Mtu akiwa mtoto,akiwa anaanza shule,kupata ubatizo na kipaimara,kuhitimu masomo picha zilihusika ili kuweka kumbukumbu

Bahati nzuri Dunia ,imepiga hatua,saizi mtu yeyote anaweza kupiga picha hata tukio lisilomuhusu.nyumba,usafiri wako n.k
Siyo Hilo tu asipokemewa anaweza kukupost kwenye mitandao ya kijamii bila ridhaa yako.

Siyo ridhaa tu anaweza kupost picha ambayo siyo nzuri,na ikawafikia maelfu ya watazamaji.
Kuja kustuka picha ishasambaa na fedheha umeshapata.

Wanaume tupunguze kujipost au kuruhusu watu wetu watupost kwani mara nyingi faida ni ndogo kuliko hasara.

Mambo haya tuwaachie KE tu mwanaume kupost picha na mapozi tofauti inaleta ukakasi kidogo.

Niliowakwqza mnisamehe hatuwezi kufanana Mawazo.
Mara moja moja siyo mbaya, kucheka cheka na camera kila Mara Kwa jinsia ya kiume, haijaa sawa kwakweli.
 
Kwanini tunaamini "Ninavyoishi mimi na wengine inabidi waishi hivyohivyo?".

Una uhakika utaratibu wako wa maisha unamfurahisha kila mtu?

Mtu anapiga picha 100 anajipost, sawa. Tueleze hapa pasi na shaka, anaathiri vipi shughuli zako za kila siku, anaathiri vipi familia yako, anaathiri vipi serikali yako?
Jamaa amesema kila mtu na mawazo yake. Sababu yako inaweza kuwa, unajisikia furaha ukipiga picha,Mademu wakucheki,unapenda attention Kwa hiyo unaitafuta Kwa Nguvu,wewe una sura nzuri umejua unajisnap unaongeza na vikolombwezo vya camera, Ah jamaa ni pretty boy, jaman huyu kaka mzuri!!!

Hapa wahaya hutuambii kitu, wewe ni nani by the way? Ni pride tu, napenda kushiriki kwenye mitandao ya kijamii, Kama wasanii wengine napenda namm nionekane Kama wasanii na maceleb wengine nk nk nk.

Binafsi hiyo hoby sina.
 
Kwanini tunaamini "Ninavyoishi mimi na wengine inabidi waishi hivyohivyo?".

Una uhakika utaratibu wako wa maisha unamfurahisha kila mtu?

Mtu anapiga picha 100 anajipost, sawa. Tueleze hapa pasi na shaka, anaathiri vipi shughuli zako za kila siku, anaathiri vipi familia yako, anaathiri vipi serikali yako?
Chukua yanayokufaa tu
 
Jamaa amesema kila mtu na mawazo yake. Sababu yako inaweza kuwa, unajisikia furaha ukipiga picha,Mademu wakucheki,unapenda attention Kwa hiyo unaitafuta Kwa Nguvu,wewe una sura nzuri umejua unajisnap unaongeza na vikolombwezo vya camera, Ah jamaa ni pretty boy, jaman huyu kaka mzuri!!!

Hapa wahaya hutuambii kitu, wewe ni nani by the way? Ni pride tu, napenda kushiriki kwenye mitandao ya kijamii, Kama wasanii wengine napenda namm nionekane Kama wasanii na maceleb wengine nk nk nk.

Binafsi hiyo hoby sina.
Umeeleza vizuri sana
 
😂😂😂 kumbe kila mtu ataolewa wakati wake ukifika

Hongera sana Mjuni Lwambo 🤣🤣
Hahahahaaaa, nimecheka sana.

Ila sasa nina wasiwasi, mume hajanijibu hadi saa hii, sijui kama ananipenda kweli au anataka kunichezea na kuniacha, vipi mwenzangu, umeshapata mtu anaekupenda?
😂😂😂 kumbe kila mtu ataolewa wakati wake ukifika

Hongera sana Mjuni Lwambo 🤣🤣
 
Hahahahaaaa, nimecheka sana.

Ila sasa nina wasiwasi, mume hajanijibu hadi saa hii, sijui kama ananipenda kweli au anataka kunichezea na kuniacha, vipi mwenzangu, umeshapata mtu anaekupenda?

Mume anataka kukuacha kwenye mataa wakati ushaambia nyumbani 😂😂😂

Mie nimeshapata lakini akitokea wa ziada sio mbaya,sisi ni binadamu tunatakiwa kusaidiana 😂😂
 
Mume anataka kukuacha kwenye mataa wakati ushaambia nyumbani 😂😂😂

Mie nimeshapata lakini akitokea wa ziada sio mbaya,sisi ni binadamu tunatakiwa kusaidiana 😂😂
Kazana tu rafiki yangu, wa ziada unaweza kumpata humuhumu.
 
Wakuu, tuji post tu. Nimejaribu , nimeona hakuna tofauti yoyote ile na usipoji post.
Kwakifupi tu, uji post au usiji post, no gains no loss
 
Back
Top Bottom