Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrogo wa kawaida 50kUnaroga kwa bei gani
WanaolewaRonaldo na Messi wameolewa na nani??
Kama ni furaha kwako jipost tu aisee.
UtaolewaSimu yangu,picha zangu,bando langu,akaunti ya mtandao ni yangu,naposti ninavyotaka,hakuna aliye spesho duniani,
NB
Duniani unaishi mara moja tu,hakuna mahali eti ukifa ndiyo utaenda kuenjoyi na kupata raha,Ishi leo.
Hayo ni maneno tu.Utaolewa
UmeolewaHayo ni maneno tu.
Sio kweliWanaolewa
UtaolewaSio kweli
Naunga mkono hoja.hakuna hata kamfano bro?
UtaolewaNaunga mkono hoja.
Mjomba kua na nidhamu, hilo ndonga hapo avatar ni la kuolewa kweli??Utaolewa
Ndiyo mkuu, unioe.
Joanah mwenzenu nimepata mume, mnaoendelea kutafuta waume msikate tamaa, kumbe inawezekana.
Wewe kama hujiposti ni wewe.Upo sahihi
Huwa nashangaa
Mwanaume unajipost,unataka nn?
Post Biashara yako ili watu wakuunge mkono
Hakuna uhusiano wa mwanaume kujiposti na kuolewa.Mwanaume punguza kujipostpost utaolewa shauriyako