Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Nenda kitambaa cheupe kinondoniMate yamenitoka sijui niende wapi jamani😋😋
Kula nyama nyamaza...... nasemajeeee usiache kula kiti moto kwa sababu ni tamu sanaa
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Wangapi wamepata kifafa kutokana na kumla huyo mdudu mtam?Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Kwa kweliNenda kitambaa cheupe kinondoni
... pombe (beer) ni haramu kuliko nguruwe; elewa hilo kwanza.Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Nilikuw nawaza kumwita mwanangu Ivan anazaliw next months. Kumbe mnapenda kula nguruwe ngoja niwaze jina jingine😃Wangapi wamepata kifafa kutokana na kumla huyo mdudu mtam?
Yaani umeshangaa au hapo maana yake nini Firdaus9Subhanallah!