Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Apo ni. 3 tu tukiweka 3a ifone wote wanaufyata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye ID ndie mwenye mkono.ID name
😬 tunafuata heading ambayo hawezi edit,kijana wa kazi
ME sjawahi kuamini kama uku jf kuna wanawake bc ata kama wako ni wale taita ila uku wanaji act kama ni warembo 😀Humu wadada wengi ni madume. Nimeshtuka
Ukidanganya sana inabidi kwenye kumbukumbu uwe smart 😂😂😂😂😂😬 tunafuata heading ambayo hawezi edit,
Ya masikioni labdaTuachane na picha, tuambie ukweli.
Hujaguswa? Una bikra kweli? Ya wapi?
Mtuache na Tecno spark 10 bhn🤣🤣Google pixel ni balaa angalia hizo picha
Nje ya mada, bado bikra jmn?Google pixel ni balaa angalia hizo picha
Sawa bossSoma maelezo kapiga kijana wangu wa kazi
Wanatumia nguvu nyingi?Iphone 13 Pro max tupo kimyaaaa kwanza hatutaki ligi na nyie
Na heading?? Wakati unaandika heading hukujua kapiga kijana wako?Soma maelezo kapiga kijana wangu wa kazi
BokobokoWanatumia nguvu nyingi?
Sijawahi ona infinix anajilinganisha.
Watu wanashindwa kuelewa chaguzi za mtu? Mchele una mapishi mob..si lazima ule wali, kuna pilau na biriani na vitumbua