Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Hahaha una hasira, Are you related to Ivan or something! Btw ninini kinakufanya uamini kuwa hiyo sms ni ya zari kwa ivan?
 
Halafu watu wanasifia humu atupie pch ya nyumba anayoishi baba yake au ndokalumanzila wale wadunia wamemwambia ampotezee mdingi ili mambo yaendelee kuwa mswano
Aweke ya babaake yy alimlea wakat wa utoto na alipokua anamuhitaji??..mkishindwa kumshusha Diamond msimtafutie visababu visivyokua na maana..lea watoto wako wakupende mbeleni..telekeza na ww utelekezwe mbele!
 
I'm lost. Sasa ndugu yangu tzs 370m si nyumba mbovu kinondoni au kijitonyama?!!! Kuna nyumba kibao huku kinondoni tzs 150-400! Apartment za NHC kinondoni hananasif zipo hadi tzs 270m. Hebu uliza bei ya nyumba nzuri K'nyama usikie.
Sasa kwani hiyo Moreleta ina hadhi sawa na ile tuliyokuwa tunajadili awali? Nimekuwekea hiyo picha kukuonesha bei kwa maeneo ambayo sio teule kama ilivyo kwa Westcliff manake hiyo Moreleta nayo sio kwamba ni sehemu teule... ni eneo la kawaida tu!!But all in all, labda tukubaliane kutokukubaliana manake hatuwezi kuwa na conclusion hapa! Tukubaliane kutokubaliana kwamba, kwangu mimi bado naamini nyumba yenye sifa ile ile ikawa kwenye location inayofanana kwa hadhi... yaani mathalani ushuani ya Dar es salaam na ushuani ya Johannesburg au Cape Town! I still believe kwamba zile za SA zitakuwa more expensive kulinganisha na Dar es salaam! Lakini si mbaya pia ukipitia price per square meter kwa miji mbalimbali duniani including Dar es salaam! Hii ni kwa mujibu wa tovuti ya The Global Property Guide!
 
I meant mtalaka sio wa jf ukimsoma IG ni same bla bla sijui Diamond alimfanya nini huyu dada!!
Hata mi huwa nashangaa, mi siwezi tumia negative energy against someone's life kiasi hicho, I better invest them for future use. Hahaha binadamu tunatofautiana sana!
 
Leo ndo nimeamini Zari sio boss lady wala nini,kumbe anaishi kutegemea mwanaume,yaani unajua kabisa mwanaume anaingiza wanawake kwenye bedroom yenu na anawalala kwenye kitanda anachokulala wewe ,ila umo tu,hahahahahah maboss lady wa ukweli angeondoka on spot,ila kwa vile anamtegemea diamond financially ndo hivyo anaishia kuwafokea michepuko tu ,kumbe hata nyumba South alikuwa hana,maisha ya social media ni tofauti kabisa na maisha real
 
Tulipoanzia ni hapa:
Conclusion yako sio sahihi hata kidogo manake umeacha kuzingatia vigezo vingi! Kwa mfano, there's no way nyumba yenye sifa zile zile; iliyopo Masaki Dar es salaam itakuwa very expensive kuliko iliyopo Westcliff, Johannesburg; sio kweli!!
 

Na maoni ya kwenye social media ni tofauti kabisa na maisha real.
 
sio mimi nimedai mume wake ivan ndo kakashifu kwamba nyumba gani wanaringia nyumba ya moleta park? kwaiyo nyumba ipo moleta huko
Sasa unadhani ningekuwa sahihi kumtaja Ivan?!! Kumbe unapenda umbeya huku unaogopwa kusutwa enh... manake ulivyoruka!!!!!
 
Moreleta si ni suburb kabisa,nyumba ya kawaida
Na maoni ya kwenye social media ni tofauti kabisa na maisha real.
Habari ndo hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…