witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
ManyodoMbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ManyodoMbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
kanishangaza hata mimi haki vile lol... kwa hali hii hata amkute dai necked na salome wa hereni atamsamehe ili a maintain status yake anayojifanya nayo...Leo ndo nimeamini Zari sio boss lady wala nini,kumbe anaishi kutegemea mwanaume,yaani unajua kabisa mwanaume anaingiza wanawake kwenye bedroom yenu na anawalala kwenye kitanda anachokulala wewe ,ila umo tu,hahahahahah maboss lady wa ukweli angeondoka on spot,ila kwa vile anamtegemea diamond financially ndo hivyo anaishia kuwafokea michepuko tu ,kumbe hata nyumba South alikuwa hana,maisha ya social media ni tofauti kabisa na maisha real
hakuna mtu anamchukia,ila alisema yeye ni bosslady ana majumba south,magari mume tajiri kumbe yote ni uongo tunashangaa tuMbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
Manyodo
kumbe mpigaji tu .ndo maana mama d hamtaki kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeh!ndo maana huddah kamuita broke cougar
Kwa dai anakomaa anajua nyumba zipo Madale na kungineko
Hivi nan angekubali azae tena watoto wa ziada wakati unao wa3 tena wakubwa tu!!
Mpk msamba uliziba wa watoto wa mwanzo!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] t
hakuna mtu anamchukia,ila alisema yeye ni bosslady ana majumba south,magari mume tajiri kumbe yote ni uongo tunashangaa tu
ila jamani kwanini watu wanadangaanya ? sifa za nini yaleyale ya mangeMwenzangu???...
Fake house
Fake bosslady
Fake age
Fake business
Fake lips
Karma comes back...mxiuuuuuuu
yes kasema mwenyewe si unajua muongo hana kumbukumbu?Mmejuaje sasa kuwa ni uongo?
Mmethibitisha kuwa kweli hana?
Wana wish hizo hela wangekula wao akina Mwajuma ndala ndefu na sio m UG!yaani mtu anaanzisha conversation ana act kama zari na ex wake whatsap na GT unaamin!inawezekana kweli tunatumia 1% ya uwezo wetu wa kufikiriMbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
Hatumchukii sie hata kidogo tena mie nlikua nampenda huyu mama kitambo sanaMbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
Naona kuna mkanganyiko huko youtube kuna video nyingi zinaonyesha mijengo na mafanikio ya huyo mama tena zimerecodiwa na mpiga picha wa wasafi sasa huku tunakuta taarifa kwamba Hana kitu inaana walitupiga kamba mashabiki!Mbwembwe zote zile za ubosslady kumbe hata chumba kimoja Kwa Zulu natal hawana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nacheka kwa dharau!
Asante mondi kutufumbua macho!
Zari kumbe ndo maana kakomaa na Dai na kabeba mimba fastaaa
Kumbe anasecure future!!
Hatareee!!
Sasa je?kumbe mpigaji tu .ndo maana mama d hamtaki kabisa
Hivi kwanini wanaume huwapa wake au wachumba vitu vya thamani kuliko wazazi wao,hapo inakuwaje
Naona kuna mkanganyiko huko youtube kuna video nyingi zinaonyesha mijengo na mafanikio ya huyo mama tena zimerecodiwa na mpiga picha wa wasafi sasa huku tunakuta taarifa kwamba Hana kitu inaana walitupiga kamba mashibiki!
Naona kuna mkanganyiko huko youtube kuna video nyingi zinaonyesha mijengo na mafanikio ya huyo mama tena zimerecodiwa na mpiga picha wa wasafi sasa huku tunakuta taarifa kwamba Hana kitu inaana walitupiga kamba mashibiki!
Hatumchukii sie hata kidogo tena mie nlikua nampenda huyu mama kitambo sana
Enzi anaimba,mpk akapata tuzo!!
Ila nimeanza kumuona siyo alivyoanza kugombana na Wadada wa kibongo(wema)
Mtu anatoka na mpenzi wa Wema halafu anamletea dharau na kejeli haipendezi kwa kweli haswa ukija kwenye umri Zari si wa kubishana na watoto!
Toka hapo ile heshima yangu kwake na mapenzi nikavikatia rufaa!
nani anajua kiwango cha pesa yake wakati anaanza ujenzi Madale!?......tunaanza projects kuzingatia hali zetu kwa wakati huo........labda kiwango chake cha sasa cha pesa kimeongezeka that anamudu kununua ya hivyo Sauz now..yote yanawezekana aiseeHili swali limedraw conclusion ya huu uzushi!
Wema anauza K na anajitunza na hana confrontation yoyote na mtu, she's free...sasa hilo limama linajishaua kumbe liko under probation na mahawara zake...ndo yaliyomkuta sorry sorry kibao na kutimuliwa![emoji16] [emoji16]hakuna kitu hapo mkuu nyumba ya kupanga na kafukuzwa na mlipaji kaambiwa akatafute kwake
halafu domo alimpendea huyu dada hela na mafanikio mdada kamchora tu kanfanya atm kwa kumzalia watoto apate pa kutokea domo atabeba mzigo huo milele hana nyumba hana biashara ni muuzaji tu wa k kama wema
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]hakuna kitu hapo mkuu nyumba ya kupanga na kafukuzwa na mlipaji kaambiwa akatafute kwake
halafu domo alimpendea huyu dada hela na mafanikio mdada kamchora tu kanfanya atm kwa kumzalia watoto apate pa kutokea domo atabeba mzigo huo milele hana nyumba hana biashara ni muuzaji tu wa k kama wema