Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

Huyu penny naye achoki tu kujipendekeZa kwa hawa watu mara kamfanyua birthday dada wa diamond, mara mama diamond mara kiface... Hvi hzo cent zake hana cha kufanyia, angeenda japo kumpakia mama yake rangi kwenye kale ka nyumba ka NHC anachoishi au kumnunulia kaka yake Sheiza Mungilwa Suruali size yake tungemuelewa...


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
 
duniani kuna makauzu ila huyu bingwa aliyeanzisha huu uzi ni rais wao..dah!

Ila Diamond inaonekana ana roho ya huruma kwa kuendelea kumpa kibaruwa huyu pimbi maana jamaa alivyo kauzu analazimisha na yeye awe celeb wakati ni mpiga picha. shame.

Nimejaribu kuangalia hiyo surprise siioni zaidi ya keki ya shoprite.
 
Ila Diamond inaonekana ana roho ya huruma kwa kuendelea kumpa kibaruwa huyu pimbi maana jamaa alivyo kauzu analazimisha na yeye awe celeb wakati ni mpiga picha. shame.

Nimejaribu kuangalia hiyo surprise siioni zaidi ya keki ya shoprite.

Hayaa banaa hshhhahhha
 
Huyu penny naye achoki tu kujipendekeZa kwa hawa watu mara kamfanyua birthday dada wa diamond, mara mama diamond mara kiface... Hvi hzo cent zake hana cha kufanyia, angeenda japo kumpakia mama yake rangi kwenye kale ka nyumba ka NHC anachoishi au kumnunulia kaka yake Sheiza Mungilwa Suruali size yake tungemuelewa...


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums

Kirungu kishamchizisha unacheza na mtoto wa Muha wewee
 
teh teh teh... ni hivi diamond anamnunulia mafuta mazuri, vinginevyo.....

Mkuu kabanga,

Kuna sura zingine hata uzipake vipi mafuta haziwezi kubadilika kua soft, tuseme sura unayoitumia kwenye Avatar yako ni ngumu naturally tu, regardless umetumia mafuta gani.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la vijana wa sasa ni kuwa kila mmoja anajiona kuwa ni super star na kusahau majukumu yao kwa taifa.Mwisho wa siku wanaanza kulia na serikali kuwa ajira hakuna ila ukiwakuta wanakula raha wala hawaishirikishi serikali katika hilo.
Tufumbue macho na kutazama mbele zaidi.Sasa wewe kufanyiwa birthday na penny ndio unakuja kutuonyesha sisi huku then iweje?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mkuu kabanga,

Kuna sura zingine hata uzipake vipi mafuta haziwezi kubadilika kua soft, tuseme sura unayoitumia kwenye Avatar yako ni ngumu naturally tu, regardless umetumia mafuta gani.
Teh teh teh.... ni ukweli sasa sisi tunalazimisha kila kitu.....suala kuu hatujikubali Shark!
 
Last edited by a moderator:
Uuh chocolate cake- my big problem..nakula kwa macho tu jamani
 
Hamna kwenye cabinet la JK mwenye jina kama hilo!Pls nifundishe nijue na mm!Nifundishe nifaidikie na darasa la MMU tafadhali

Wa google utawajua tu mie mwenyewe hawa nawaonea humu tu
 
kuna member humu alitoa comment moja nzuri sana kuhusu huyu heaven on desert......''kilichonishangaza ni wewe[H.O.D] kujifungulia thread kwenye celebrity forum"
 
Back
Top Bottom