BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Wabaya nyinyi Gossipcopwarumi na Dinazarde
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanayaweza tungeamia ni special order, jana best umeona mapokez ya baba ubaya? Watu full mashauz akina mwafulan sasa na shoga ake cheus dawa kama kawa, yan ningekuwa na taarifa sahihi ningeenda kulipua bomu na mm kama Arusha
Hahhhhhaaaa walienda kumpokeaa eer,kwa hiyo cheusi dawa ndoa ishakufa au??mama domo ashajua kuendesha gariii/????
Hata mi nimeona aisee mama ubaya nguo aliyovaa imeacha chakula cha watoto wazi sana hafu kawa mmama sana akikAa na domo ka mtu na mwanaye kawa bonge
Siku izi pete hazipewi heshima zake naona kila sehemu watu wanavalishwa, ndomo nae alimvalishaga mama ubaya pete club billicanas sijui iliishia wapi, huyu nae ki bichwa kajivalisha sijui ndo kavalishwa kwel atajua na mabalaa yake ila harus yake lazima tukacheze kigodor
Mwenzangu cheusi dawa ndoa haina uhai tena, kwanza nilisikia ataenda kumalizia mfungo dubai kwa mumewe naona siku zinakatika, anazidi tu kuwa kibaraka wa mama ubaya, jana mama ubaya na team yake ya kigodor hawakuwa nyuma si unamjua kwenye sekta ya mashauz hakoseag yule
Best nina umbea mzito
Best nina umbea mzito
Wabaya nyinyi Gossipcopwarumi na Dinazarde
Mmh penny ana bichwa la haja jamani na vile akinyoa ndo kabisa anadhihirisha uumbaji wa mungu kweny kichwa chake, kwa kwel kichwa kabarikiwa
Kuwa mpole kwanza nipate habar kamili
Kuwa mpole kwanza nipate habar kamili
ddaaah...!sina raha hapa!
Watu mnapenda umbea kuliko msosii aiseee
Watu mnapenda umbea kuliko msosii aiseee
mtoto wa kiswazi km mie nisipopenda umbea nipende nini tenaaa....?!!!!mtaani kwetu shurti kusutwa na benbati.....kantangazeeeee.....!