Picha: Peter Kibatala akiwa kaelemewa mafaili baada ya kumaliza shughuli yake

Poleni Mataga kwa kupigwa na kitu kizito.
Tumepigwaje wakati sisi ndo tumefuta, kwa hiari yetu, hivi hujui serikali iliyopo ni serikali ya ccm, hivyo dpp kama mfanyakazi/wakili wa serikali huwezi kumtenganisha nasi, tumewasaidia tu, ila tumewanyoosha kudadeki. (utani, usichukulie personal).
 
Najitolea kupeleka chakula cha mafundi site watakaokuwa wanajenga huo mnara.
Ukiwapelekea chakula uwaruhusu nao wakupelekee moto si unajua tena baada ya kaz burudan
 
Ukiwapelekea chakula uwaruhusu nao wakupelekee moto si unajua tena baada ya kaz burudan
Moto watakupelekea wewe. Mimi nimechagua kuwapelekea chakula, sio mbaya na wewe ukiwasogezea hiyo huduma karibu.
 
Moto watakupelekea wewe. Mimi nimechagua kuwapelekea chakula, sio mbaya na wewe ukiwasogezea hiyo huduma karibu.
Hapana mimi ni fundi ndio nikaomba kwa niaba ya wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…