Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Wanaoshitakiwa kwa ugaidi?Magufuli tumezika aliotesa wanameremeta[emoji1][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoshitakiwa kwa ugaidi?Magufuli tumezika aliotesa wanameremeta[emoji1][emoji3]
Wazanzibar ni watu wanaosahau haraka sana ! Mateso yote mliyopewa na ccm eti leo kuachiwa UAMSHO mnataka kila mtu awe upande wa Hangaya !Mungu ambariki zaidi,aliyemfanyia wepesi akatoka jela,yeye na wengineo waliotoka.
Inategemea umekaa sehemu gani.Chakademus wachovu sana
Hii nayo ni habari?
Nani anasoma biblia sasa?Watu wanaojifanya wanapenda kusoma biblia waogope sana
hajawahi kusema yeye ni mjanja wa mjiniHa ha
Afu jamaa ni mshamba sana.
Acheni hizi kauli za kipuuzi za kuwa drag wazazi kwenye issues za watoto wao. Wewe hapo wazazi wako wamefaidika na nini? Unaweza kukuta bado ni mzigo kwao mpaka wamekuchoka. Kujuficha kwako kwenye ID kusikufanye uwe lofa.Kuna wazazi wamepata hasara sana, moja wapo wa hao wazazi ni wale wa huyu mdude...
Hasara hiyo haiwezi kuzidi waliyoipata Wazazi wako, yaani ni Bora Km baba Yako angemwagia nje tu.Kuna wazazi wamepata hasara sana, moja wapo wa hao wazazi ni wale wa huyu mdude...
acha povu weweHasara hiyo haiwezi kuzidi waliyoipata Wazazi wako, yaani ni Bora Km baba Yako angemwagia nje tu.
naweza kukulea wewe, mkeo na familia yako yote... chunga kauli zakoHasara hiyo haiwezi kuzidi waliyoipata Wazazi wako, yaani ni Bora Km baba Yako angemwagia nje tu.
Kuna wazazi wamepata hasara sana, moja wapo wa hao wazazi ni wale wa huyu mdude...
vipi kuhusu mama yako?Mkuu mama yako ameshazaa?
Atakuja kumkanda tumbo wakwakovipi kuhusu mama yako?
hamna noma,Atakuja kumkanda tumbo wakwako