Picha: Rais JK atembelea na kukagua jengo la bunge kuangalia jinsi wabunge wa katiba 600 watavyokaa

Picha: Rais JK atembelea na kukagua jengo la bunge kuangalia jinsi wabunge wa katiba 600 watavyokaa

Kwamba hoja yao ilikuwa ni Watanzania kutoka kona mbalimbali; SIDHANI! Hoja ya Wapinzani ilikuwa ni namna ya kuwapata wale wabunge wa ziada (mbali na hawa sasa!) Kwamba, wakati utaratibu uliowekwa ni kwamba hao wa ziada (about 300) watateuliwa na Rais baada ya kuwa ameletewa majina matatu! Kwamba, SAY Jamiiforums ingekuwa nasi tunataka mwakilishi wetu, basi sisi wenyewe tunachagua/tunateua majina matatu na kuyapeleka IKULU kisha JK anateua moja kati ya hayo matatu! Hii ndiyo hoja ya msingi; hususani kwa CHADEMA! Haya ya kwamba Wazanzibari hawakushirikishwa ni porojo tu za kisiasa....anyway, this's like war; no war without propaganda! Hawakuosea kuleta suala la kutoshirikishwa Wazanzibar ili kutafuta uungwaji mkono!

So, vyama vya upinzani hawoni kama ni sahihi kuachia JK kuteu hao watu! Hofu yao ni kwamba, baada ya majina kupelekwa IKULU, huenda wana-mikakati wa CCM waka-scrutinize na kujua kwamba among the Three Names brought foward; X and Y wanweza kutetea maslahi ya CHADEMA wakati Z anaweza kutetea Z na hivyo Mkulu akakata shauri la kumteua Z!! Katika stahili; ikiwa wanachanga karata sawa sawa; basi si ajabu out of (say) 300, basi 200 wakaenda Mjengoni kutetea maslahi ya CCM na hivyo ukichanganya na wale waliopo; CCM wakawa na mtaji wa angalau WATETEZI 400 huku 200 wakienda pale kutetea upinzani (CHADEMA?) Nafahamu, huku mitaani watatupiga fix kwamba ni Katiba ya Watanzania lakini Si mwanachama wa CCM wala CHADEMA ambae ataweka maslahi ya Watanzania kwanza!

Sasa basi, issue ipo hapo kwenye kuwapata hao wabunge; itumike njia gani? Ikumbukwe kwamba wanaohitajika kutoka kwenye hivyo vikundi ni takribani wabunge 300 wakati taasisi husika zipo zaidi ya mia tatu!! SWALI: Kama idadi ya taasisi/NGOs, CBOs ni kubwa kuliko idadi ya wabunge wanaohitajika; Sasa kama uteuzi ufanyike kutokana na hoja ya Upinzani; kwanini ni Taasisi A ndiyo iwe na mwakilishi na sio B? By the way, ni nani huyo atakayeteua hiyo taasisi A itakayotoa mwakilishi? Sina uhakika kama nimeeleweaka; assume kuna CBOs/NGOs/and the Like 400 ambazo collectively wanatakiwa kupeleka wawakilishi 300; so, ni nani huyo atakayechagua taasisi 300 out of 400? Tuamini kwamba hawa watakutana kisha wakapiga kura? Anyway, sisemi kwamba haiwezekani inawezekana kabisa lakini ninachotaka kusema ni kwamba WAPINZANI WAMEPIGWA CHANGA LA MACHO! JK alichowakubalia ni kwamba hoja irudi Bungeni! Siamini kwamba CCM wata-vote against exclusive right ya President katika kuteua mtu mmoja out of the THREE! Unajua itakavyokuwa?
Itakuwa hivi; baada ya mjadala mkali, hatimae kura zitapigwa! Wanaosema ndiyo; NDIYOOOOOOO, wanaosema siyo; SIYOOOOOOO! Mnyika atasimama tena na kusema tuhesabu kura moja moja na mwisho wa yote Waliosema NDIYOOOOOO (CCM) wameshinda! Hapo sasa; CHADEMA na wenzao wakitoka tena ukimbini; wataonekana KUMBE KWELI CHADEMA WAKOROFI! Rais amewasikiliza; hoja imerudishwa bungeni; Wengi wameamua lakini BADO CHADEMA HAWATAKI!

Ole wao ambao wanaomwa-undermine JK!


Kama watachaguliwa RANDOMLY na JK sio tatizo sababu watu hao watakuwa huru kujadili hiyo KATIBA; Sidhani sababu RAIS kaniteua nitampa atakacho sijui Rais anataka nini kwenye KATIBA...
 
nngu007 acha kupotezea ulipigwa mkwara kuwa we ni mtumishi mamluki wa seikali!

Oh Mkwara gani huo? sikiliza IWE ISIWE huyo MTU hawezi kunifikia nilipo; I'm PROTECTED by the RULE OF LAW of the POWERFUL NATION IN THE WORLD... and they appreciate my contribution...

Sasa kama huyo Jamaa ana ubavu tell him to continue... Mwambie ninamsubiri... Lakini ajue kuwa AKISHINDWA HIYO KESI na atashindwa Malipo ni kwa DOLA sipokei hela za MADAFU...

Hapo ndipo atakapo jifunza kutochezea Wanadamu... HUMAN BEINGS are REMARKABLE EH!!! Yaani na nyie Mnadhani that small thing wil stop my RIGHT to EXPRESS MY FREEDOM...

Nimeshasema Mimi ni Mtanganyika I will support the ruling GVT when they are RIGHT and I WILL CRITICIZE the ruling GVT if and when they are WRONG...

Mimi sina KADI ya CHAMA CHOCHOTE cha kisiasa; lakini nilikulia enzi za CCM...


c.c Ame; duchi
 
Kuna tofauti ipi kati ya ukumbi huu Bunge la kawaida na bunge la Katiba?Ama mleta haoja anataka aonekane naye ana uzi kaweka jamvini?Aibu tupu!

Bunge la kawaida lina watu 350 na hili la katiba lina watu 700......kuna tenda kibao hapo kulibalisha
 
Sasa huyu Ndugai ujanja wote akikutana na Kikwete anakuwa hoi!! Yaani picha zote mkono kaweka tumboni utafikiri mtoto wa shule, yaaani hadi anaboa, kama ni heshima; heshima gani hiyo khaaaaaaaaa!
Ukionana nae wewe utakunya kabisa.
 
Kusoma huelewi basi hata picha huoni?

Umeambiwa kwa sasa wabunge ni 354 (tazama viti vyekundu), Bunge la katiba watu 600, tazama viti vyeusi.

Upo hapo ulipo?
Sio vizuri kumuambia masikini wa akili ukweli.

Umeniumiza mbavu zangu sasa....
 
Mmesahau kuwa wabunge wataongezeka baada ya marekebisho ya katiba na kuwa zaidi ya 900?
 
NYinyi watu wa Ikulu msipotoshe umma, muwe mnakuwa realistic, wakati raisi anakutana na vyama vya siasa na kukubaliana kufanya marekebisho katika vipengere kikiwemo cha kuongeza idani ya wjumbe hamkuwepo nyinyi kina Salva?
 

Oh Mkwara gani huo? sikiliza IWE ISIWE huyo MTU hawezi kunifikia nilipo; I'm PROTECTED by the RULE OF LAW of the POWERFUL NATION IN THE WORLD... and they appreciate my contribution...

Sasa kama huyo Jamaa ana ubavu tell him to continue... Mwambie ninamsubiri... Lakini ajue kuwa AKISHINDWA HIYO KESI na atashindwa Malipo ni kwa DOLA sipokei hela za MADAFU...

Hapo ndipo atakapo jifunza kutochezea Wanadamu... HUMAN BEINGS are REMARKABLE EH!!! Yaani na nyie Mnadhani that small thing wil stop my RIGHT to EXPRESS MY FREEDOM...

Nimeshasema Mimi ni Mtanganyika I will support the ruling GVT when they are RIGHT and I WILL CRITICIZE the ruling GVT if and when they are WRONG...

Mimi sina KADI ya CHAMA CHOCHOTE cha kisiasa; lakini nilikulia enzi za CCM...


c.c Ame; duchi

Should I be sincere to you? I see! next time hata ukipigwa mkwala mute tu inasaidia sana kum confuse your enemy kuliko hivi unavyoji expose! Hata mm tu nimeshakusoma hofu uliyonayo....

I think you have all the rights to criticize kwani its your number one right kama raia halali wa nchi hii!
 
Kusoma huelewi basi hata picha huoni?

Umeambiwa kwa sasa wabunge ni 354 (tazama viti vyekundu), Bunge la katiba watu 600, tazama viti vyeusi.

Upo hapo ulipo?

Bweha ni bweha tu hata akajiita Foxy.
 
Bweha ni bweha tu hata akajiita Foxy.

Hahahahahahaha, mwajulikana, mkikosa hoja mnaanza viroja. Umekushuka.

Chadema bila matusi na lugha chafu haiwezekani....CHADEMA na Matusi ni kama Samaki na Maji! - Chris Lukosi
 
Last edited by a moderator:
nngu007 acha kupotezea ulipigwa mkwara kuwa we ni mtumishi mamluki wa seikali!

Mkwara gani? Mimi bado nipo wao ndio wamekimbia sijui wamekwenda MISITUNI? I'm still here boosting around... Umewasikia tena? LA HASHA... Niliwaambia kuwa wakileta hicho cha kibaguzi cha CCM wajitayarishe na kwenda MAHAKAMANI ya HAKI na MALIPO ni DOLLARS.. waliacha kandambili.... vumbi tuuu nyuma!!!! LOL... WHAT A FREEDOM of SPEECH...

c.c Ame
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom