Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

Status
Not open for further replies.
mkulu alimpigia cm ruge na kumwambia aisee natka kufuturu na wasanii naomba uwatafute uwape hyo taarifa ....sasa matokeo ndyo hya kawabeba wasanii wake a.k.a misukule na watangazaji wke ....chezea ruge ww
 
Hao "punda" washanunuliwa kwa futari tu!!!

Kesho hao kwenye ndege kusafirisha madawa wakirudi kampeni kwa CCM baada ya hao wanawatupa kule!!hakuna cha hati miliki wala haki miliki.
 
CHADEMA imewauma sana . Jamani wasanii nao ni Watanzania wenzetu pia. Ndio wanaotuburudisha . Mara mojamoja sio mbaya . Hata ulaya ipo
 
Wengi wao ikifika 2015 watatumiwa ktk kampeni za chama tawala for the sake of 2013 iftar.

We n tatizo na ubongo wako unamatatizo pia,kila dakika wawaza siasa tu,2015 hata 2014 hujaiona,amka basi duh
 
Jk n mtu wa watu jaman achen chuk zisizo na mpango,hao wasanii n wabongo wenzetu pia sema kuna kasoro ya mualiko kwa hao waliopo,Ben Po sidhan kama n muislam yule,kafata nn pale ?
 
mpaka leo sikuwa najua kama presenters hasa wa clouds ni wasanii,...poor me!!
 
dah!
haya bana,tushaingia choo cha mende sa tufanyaje!twendeni tu hivo hivo!
 
Mkulu atoe singo tu, tujue ni msanii wa bongo fleva, tunajua ni msanii lakini hatumsomi ni msanii wa nini.!

Da nami naanza kuimba, nitauza hata shamba nami nirekodi. Jamaa wanafidi hivi.
 
Wanaopinga hili kumbe CDM, da basi kama hii ni kauli ya wanaCCM wote wamekosa kufikiri.
 
Hongera Rais wetu kwa kuwa na moyo wa aina hiyo kwa MAPREZIDAA wengine sijawai ona!hii inaitwa UPENDO!
Sasa hapa kuna watu tayari wameshaanza kitafsiri vingine jmani basi mara moja moja tuwe tunafurahia pale RAIS WETU ANAPOJICHANGANYA NA WANANCHI AMA HIVI....sasa mimi wakati mwaingine huwa sielewi huwa Wa Tz TUNATAKA NINI hasa kutoka kwa RAIS! akisafili.....oooh kasafiri sana,akitulia nyumbanisasanile na watoto wangu chakula au FUTARI kwa mwazi mtukufu basi eti ametumia pesa za walipa kodi vibaya...ivi wewe unajua Rais ANA MFUKO WA Social Events?au hujui?ndo mana hata siku za sukukuu huwa mara nyingi anatoa hata chakula kwenye vituo vya watoto yatima na n.k
Basi sio kila kitu anachokifanya ni kibaya mi binzfsi namkubali sana sema tu watendaji wengine baadhi wanamwangusha huo ndo ukweli wa mambo!
 
naona kama walibeba take-away vile....
 
mmmmmmmmm madame mbona wa kristo wapo tena wengi.adamu mchovu,ambwene isaya,b 12,marlow na wengine wengi..ushaanza kutia udini mama la mamaaa acha hizo bana



mkuu b12 ni muislam jina lake halisi ni Hamis mmandi,na ay haitw ambwene isaya bali ambwene yesaya,..
 

mkuu sidhani kama anastahili pongezi,angeita watoto yatma ambao hawawez kufuturu na sio wasanii ambao hutumia make up za 1000000
 
Hongera sana jk. Nasie wakulima tunasubiri zamu yetu chama utakuwepo?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…