Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

Status
Not open for further replies.
Imekaa vizuri. Haimaanishi kwamba kama wewe ni Rais, basi siyo binadamu.. Hata Rais naye ana 'role models'..
 
Wanajamvi naomba kufahamishwa yafuatayo:

i. Hii inafanyika kwa gharama za nani? Je,ni fedha binafsi za Jk na Familia yake au ni kodi za wananchi?

ii. Nini maana halisi ya "Kufuturu" na "Kufuturisha" kwa Mwislamu safi na miiko yake?

iii. Je, "Bongo Flava" ndio kipaumbele cha Taifa??




Umeuliza maswali mazuri haswa hiyo ya tatu. Kwa kweli mimi sioni msanii wowote wa flev kuwa kioo cha jamii. wasanii wa fleva wote wapigwe ban kama taifa Stars kwani wao ndo wauza unga wakubwa eti leo hii wanakwenda kubembelezwa Ikulu wasibwie unga kwa sana na kuvuta bangi. Ikulu si sehemu ya hawa watu kwani hawastahili kuwepo pale.
 
Wasanii wengi wanahamia CDM, naona hii ni aina ya kuwasainisha mkataba wa kutumika 2015, wao wanachekelea bila kujua.
 
na huyu Mbwiga ni msanii wanini ?

kkkk.jpg
 
GK ndo kaniacha hoi na tabasamu lake.. sijui mchecheto..
 
Sifahamu dhana ya kufuturisha imekaaje!
Je wanaoalikwa ni Bongofleva Waislamu au wote?...
Na je unapomfuturisha mtu mwenye uwezo wa kutosha (kama hao Bongofleva) na kuwaacha wananchi masikini wanaofukuzana kupata muhogo wa kuokota ili kuandaa futari, ni swahihi?
 
kkkk.jpg

nadhani hawa walinzi wa viongozi (bodigadi) wana kazi za ziada sometime!
 
Tunasubiri msururu wa wasanii wa bongo fleva kupigana vikumbo kuipigia kampen CCM 2015. Kila jambo lina sababu zake.
 
Je na huku kugusanisha naniliu kunaruhusiwa wakati wa mfungo, au wakati mwingine wowote?
f41.jpg
 
Baadhi ya wasanii aliopiga nao picha ni Makontena ya kubebea Sembe! Ndio maana hata Sugu hakuwezi kushiriki katika huo usanii!
 
Ndo maana hata kagame ana2dharau na ku2tukana.... Ha2na maana ya kuona ya maana..ma shwain
 

Rais Kikwete akiwa akiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa Filamu na Bongofleva,Hemed Suleiman.

Rais Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,TV,Mbwiga Mbwiguke.


Rais Kikwete akiwa akiwa katika picha ya pamoja na Msanii Mkongwe wa Bongofleva,Gwamaka Kaihula a.k.a King Crazy G K.


Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa bongofleva na muigizaji wa Filamu hapa nchini,atambulikae kwa jina la kisanii Zuwena Mohamed a.k.a. Shilole.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wasanii wa Bongofleva,Ally Kiba na mdogo wake Abdull Kiba.


Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa muziki wa Bongofleva mara baada ya kufturu.Kutoka kushoto,Snura,Keisha,Mwasiti,aliyechuchumaa ni Shilole,Dj Fetty ,Mwanahawa Abdul a.k.a Quee Doreen.

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya pichani shoto Mwasiti Almas na kulia Zuwena Mohamed a.k.a Shilole wakiwa sambamba na Mtangazaji wa Clouds FM,Dj Fetty wakipakua ftari kufuatia mualiko wa Rais Kikwete kwenye viwanja vya Ikulu,jijini Dar jana.


Wasanii wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongofleva wakipata ftari kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar jana kufuatia mualiko wa Rais Kikwete.

Rais Kikwete akisalimiana na msanii wa bongofleva,Lawrence Malima a.k.a Marlow,kulia kwake ni Ally Kiba pamoja na Abdul Kiba na kushoto ni Mtangazaji wa East Africa Radio,Samisango


Rais Kikwete akisalimiana na msanii wamuziki wa kizazi kipya,Chege Chigunda na kulia kwake ni msanii wa bongofleva,Cassim Mganga,wakati wa kupata ftari jana jioni kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar.


Rais Kikwete akiwasabahi baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya,mara baada ya kupata ftari mapema jana jioni kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar,Rais Kikwete aliwaalika wasanii mbalimbali kupata ftari ya pamoja Ikulu jana jioni.

yeye mwenyewe ni international artist
 
Dr Slaa, akiona hivi basi roho inamuuumaaa!
 
Halafu wakifa anawapotezea kama alivyompotezea Ngwair.
 
Vp watoto yatima na wasiojiweza watafuturishwa lini? au haipo kwenye ratiba maana leo ni Ramadhani 27 .....................
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom