Mama Obama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 1,621
- 1,087
Ww una akili kuliko wazungu waliomchagua ? Acha chuki binafsi
Kwasababu Wazungu hawajuwi vizuri, Watanzania wameziba midomo hawajui kulalamika. Watanzania ni wavumulivu sana. Shida zao wanajuwa wenyewe. Nchi za nje wanafikiri Viongozi wetu ni Wazuri na si wizi, lakini corruption iliyokuwepo Tanzania ni zaidi kuliko nchi yeyote East Africa.