Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
"Msema kweri mpenzi wa Mungu" Tanzania hakuna coronaBarakoa iko wapi?
Pichani
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani akitazama Vyakula vya aina tofauti akiwa maeneo ya Kizimkazi Kusini Unguja
View attachment 1913077
Waandaaji wa shughuli nzima watafia jela wallahy🤣Hii ni haijakaa vizuri kidogo kwa usalama wa raisi anaweza funua tanu wakafumuka nyuki!
We ndo unafikiri ivyo,kuna mtu wa ulinzi wa rais keshapita apo.Hii ni haijakaa vizuri kidogo kwa usalama wa raisi anaweza funua tanu wakafumuka nyuki!
Yupo awamu ya mwendazake,Barakoa iko wapi?
Akhsante kwa kunijuza!We ndo unafikiri ivyo,kuna mtu wa ulinzi wa rais keshapita apo.
Rais Mzalendo wa Vitendo
Hii ni haijakaa vizuri kidogo kwa usalama wa raisi anaweza funua tanu wakafumuka nyuki!
Af mpishi anasema hapo kulikua na wali asali[emoji39]Hii ni haijakaa vizuri kidogo kwa usalama wa raisi anaweza funua tanu wakafumuka nyuki!
Mama kudemka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama utadhani amekula kungumangaPichani
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani akitazama Vyakula vya aina tofauti akiwa maeneo ya Kizimkazi Kusini Unguja
View attachment 1913077