Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mbona sisi hazituhusu na hatukatwi tozoe,kwani wewe unakatwa tozo? Kama unakatwa Basi itakuwa wewe hukuludisha kasi ya Chadema.Na tozo zitashuka kwa sisi wenye kadi za CCM.
From who?Connection ya DRC ilikuwa matango pori?
Kwa hiyo hajenda tena drc kama tulivyoaminishwa kuwa atapitia huko huko kwenda drc kikaziRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Agosti 24, 2021 akitokea Nchini Zambia alikohudhuria Sherehe ya kuapishwa kwa Rais Mpya wa 7 wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema https://t.co/c0pJCLJ09c
View attachment 1906787
Ataenda tu,Kama angeunganishia kulekule tutajuaje Kama amesafiri tena.Kwa hiyo hajenda tena drc kama tulivyoaminishwa kuwa atapitia huko huko kwenda drc kikazi
Boeing ni ndege kubwa haiwezi kutua msalato ๐ ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธKwanini ameshukia JK Nyerere na siyo Msalato Dodoma? asee tunachezewa sana.
Rais wetu msikivu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Agosti 24, 2021 akitokea Nchini Zambia alikohudhuria Sherehe ya kuapishwa kwa Rais Mpya wa 7 wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema https://t.co/c0pJCLJ09c
View attachment 1906787
Maza atumi mwakilishi yeye ni bandika bandua hapoi anaanzisha safar nyingine.Mambo ya msingi anafanya sangapi?
Na CHADEMA watozwe Kodi ya ugaidiNa tozo zitashuka kwa sisi wenye kadi za CCM.
Hiyo ni salaam wakati huu. You should understand boy .Mama aache kushikanisha mikono mbele ya wateule wake, unaweza usione nani ni nani hapo ukiondoa hiyo carpet. Sauti ya mamlaka, gesture yenye mamlaka ndo inayotakiwa.
Watamkimbiza mchaka mchaka akiendelea kuwafungia mikono hivi.