Kwani si leo ndio 24.02.2024 Jumamosi? Kama anazikwa kesho basi tarehe haziko sahihi.Habari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob yaliyofanyika leo, Jumamosi Februari 23.2024 kwenye uwanja wa michezo wa Uhuru uliopo jijini Windhoek nchini Namibia,
View attachment 2914783
View attachment 2914785
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye
View attachment 2914784
View attachment 2914786
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye
View attachment 2914787
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto
Hayati Dkt. Hage Geingob atazikwa kesho, Jumapili Februari 24.2024
😲Habari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob yaliyofanyika leo, Jumamosi Februari 24.2024 kwenye uwanja wa michezo wa Uhuru uliopo jijini Windhoek nchini Namibia,
View attachment 2914783
View attachment 2914785
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
View attachment 2914784
View attachment 2914786
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
View attachment 2914787
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto.
Picha nzuri Sana
R.I.P PresidentHabari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob yaliyofanyika leo, Jumamosi Februari 24.2024 kwenye uwanja wa michezo wa Uhuru uliopo jijini Windhoek nchini Namibia,
View attachment 2914783
View attachment 2914785
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
View attachment 2914784
View attachment 2914786
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
View attachment 2914787
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto.
Picha nzuri Sana
[/QUO
Nyuma ya mama kuna miamba miwili💪
Ndio tunamuona kwa mbali Mzee mzima