Akishaandika huo msaada unatolewa na mkono wa shoto?Mind misaada yote anayoidhinisha pres.Obama ni kwa MKONO HUO WA KUSHOTO,ndio hiyo hela unayochajia simu yako,na kupita barabarani kwenda kutafuta hela ya vocha ili tukuone hapa,unaliongeleaje hilo?
Bila ya kuandika na mkono wake wa kushoto utatolewa?,si ndio kuutoa na mkono wa kushoto?Akishaandika huo msaada unatolewa na mkono wa shoto?
Anaekabidhi huo msaada au pesa anatoa kwa mkono upi?Bila ya kuandika na mkono wake wa kushoto utatolewa?,si ndio kuutoa na mkono wa kushoto?
acha kumfafanisha kenyatta na upuuzifotokopi kwa Magufuli wa TZ
Hiv ww ndo cyber crime act haikuhusu eeeeh!!!acha kumfafanisha kenyatta na upuuzi
=weweHiv ww ndo cyber crime act haikuhusu eeeeh!!!