Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana kufa ni ahadi. India wanakufa kama hawana akili nzuri wakati nchi yao ina miungu wengi, wengine hawana majinaHakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
We Bro unajikanyaga sana[emoji38] sema mama huenda ashapiga chanjo kimyakimyaMimi nijuavyo Uhuru Muigai ameshadungwa Astra Zenneca Samia nadhani zile Dua na Kaswida alizofanyiwa kule Unguja sijui kama zinaweza kumkinga.
Kama ni kweli hawa Viongozi hawatufai hata kidogoWe Bro unajikanyaga sana[emoji38] sema mama huenda ashapiga chanjo kimyakimya
Viongozi wa kiafrika ni pasua kichwa Sana aiseeKama ni kweli hawa Viongozi hawatufai hata kidogo
Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
Kama Kiongozi anajificha anadugwa Chanjo huku Raia wakiteseka ai bora tutawaliwe na Masultani tujue mojaViongozi wa kiafrika ni pasua kichwa Sana aisee
Kwa Jiwe ilisemwa hivyo kuwa ameshachanja kisirisiri.We Bro unajikanyaga sana[emoji38] sema mama huenda ashapiga chanjo kimyakimya
Hata Jiwe yawezekana lakini yule Jiwe alikuwa na magonjwa mengi tangia mwanzo, tangia kwenye kampeni hali ilikuwa tete. Ila La Mungu halikwepekiKwa Jiwe ilisemwa hivyo kuwa ameshachanja kisirisiri.
Sasa hao wenye magonjwa mengi si ndio walengwa hasa wa hizo chanjo.Hata Jiwe yawezekana lakini yule Jiwe alikuwa na magonjwa mengi tangia mwanzo, tangia kwenye kampeni hali ilikuwa tete. Ila La Mungu halikwepeki
India hawafi na korona wanauwa watu ili wachukue viungo kwa mwavuli wa koronaIna maana kufa ni ahadi. India wanakufa kama hawana akili nzuri wakati nchi yao ina miungu wengi, wengine hawana majina
Duh, kanuni za kupambana na Covid zinasemaje?Wamepima wanaaminiana