Picha: Rais wa Kenya na Tanzania hawajavaa barakoa. Tunapata ujumbe gani hapa?

Picha: Rais wa Kenya na Tanzania hawajavaa barakoa. Tunapata ujumbe gani hapa?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?
FB_IMG_1620147644101.jpg
 
Mimi nijuavyo Uhuru Muigai ameshadungwa Astra Zenneca Samia nadhani zile Dua na Kaswida alizofanyiwa kule Unguja sijui kama zinaweza kumkinga.
We Bro unajikanyaga sana[emoji38] sema mama huenda ashapiga chanjo kimyakimya
 
Kwa Jiwe ilisemwa hivyo kuwa ameshachanja kisirisiri.
Hata Jiwe yawezekana lakini yule Jiwe alikuwa na magonjwa mengi tangia mwanzo, tangia kwenye kampeni hali ilikuwa tete. Ila La Mungu halikwepeki
 
Nani aliwadanganya kuwa unaweza kuzuia microscopic organism kwa kitambaa kinachopitisha hewa? Hakuna muhindi ambaye havai barakoa lakini wanapukutika sana
 
Hata Jiwe yawezekana lakini yule Jiwe alikuwa na magonjwa mengi tangia mwanzo, tangia kwenye kampeni hali ilikuwa tete. Ila La Mungu halikwepeki
Sasa hao wenye magonjwa mengi si ndio walengwa hasa wa hizo chanjo.
 
Ina maana kufa ni ahadi. India wanakufa kama hawana akili nzuri wakati nchi yao ina miungu wengi, wengine hawana majina
India hawafi na korona wanauwa watu ili wachukue viungo kwa mwavuli wa korona
 
Back
Top Bottom