Tulia Akson au...Tulia wewe
Nyie wapuuzi.hao wapo ndani ya Ikulu ya Nairobi.Mbona walivyotoka kuongea walivaa.acheni umbumbumbu.Kenya& Tanzania are corona free states
ExactlyWe Bro unajikanyaga sana[emoji38] sema mama huenda ashapiga chanjo kimyakimya
Wewe unaamini kuwa barakoa ndiyo kinga ya wewe kutopata corona? Ingalikuwa hivyo corona ingalikuwa imeshatokomea zamani duniani. Ulaya, Amerika, India na Brazil wamezivaa sana barakoa kwa zaidi ya mwaka mmoja lakini matokeo yake imekuwa ni ongezeko la visa vya corona. Na chanjo nazo hali imekuwa ni ile ile. India ndiyo nchi yenye kiwanda kikubwa zaidi duniani cha kutengeneza chanjo ya AstraZeneca lakini kwa sasa visa vya corona vimefikia watu nusu million kwa siku!Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
WamepimaHakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
Uhuru kanenepa jameniHakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
Kipimo cha PCR ni utapeli mtupu. Kina false positives na false negatives kibao ajabu na hata mvumbuzi wake alishalithibitisha hilo na kushauri kisitumike katika kushughulikia janga hili la corona akimuunga mkono aliyekuwa rais wetu JPM ambaye alibaini false positives results kwenye mapapai, kware na engine oil.Wamepima wanaaminiana
Wamevua ilikupiga picha tu,Rasi Samia anayoyakwake hapohapo ameiweka chini ya kidevu na Uhuru yakwake ameishika mkono wake wa kushoto baada ya picha wana vaa.Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?View attachment 1773501
Haya mambo siku zote,changanya na zako...Viongozi wa kiafrika ni pasua kichwa Sana aisee
Mimi nijuavyo Uhuru Muigai ameshadungwa Astra Zenneca Samia nadhani zile Dua na Kaswida alizofanyiwa kule Unguja sijui kama zinaweza kumkinga.
Wamepima wanaaminiana
Sasa kwa akili yako walikuwa wanamaanisha nini kwa kutokuvaa barakoa kama si hakuna korona au covid 19 is negligible?Nyie wapuuzi.hao wapo ndani ya Ikulu ya Nairobi.Mbona walivyotoka kuongea walivaa.acheni umbumbumbu.
Wewe unaamini kuwa barakoa ndiyo kinga ya wewe kutopata corona? Ingalikuwa hivyo corona ingalikuwa imeshatokomea zamani duniani. Ulaya, Amerika, India na Brazil wamezivaa sana barakoa kwa zaidi ya mwaka mmoja lakini matokeo yake imekuwa ni ongezeko la visa vya corona. Na chanjo nazo hali imekuwa ni ile ile. India ndiyo nchi yenye kiwanda kikubwa zaidi duniani cha kutengeneza chanjo ya AstraZeneca lakini kwa sasa visa vya corona vimefikia watu nusu million kwa siku!
Kipimo cha PCR ni utapeli mtupu. Kina false positives na false negatives kibao ajabu na hata mvumbuzi wake alishalithibitisha hilo na kushauri kisitumike katika kushughulikia janga hili la corona akimuunga mkono aliyekuwa rais wetu JPM ambaye alibaini false positives results kwenye mapapai, kware na engine oil.Wamepima wanaaminiana
Mkuu barakoa inasaidia vp?Barakoa zinasaidia mkuu. Shida kubwa, hasa hapa Ulaya Ni namna ya uvaaji Barakoa, aina ya Barakoa kurudia kuvaa barokoa hata kama zimepata moisture and little or no social distancing hasa kwenye baadhi ya maeneo mfano ndani ya Tram.
Pia, wazungu wengi wanadharau sana na huandamana Mara kwa Mara bila kuobserve Social distancing
Na nyuma kidogo wamama walikuwa wanafua zile Barakoa wanazovaa watu ukiingia ICU nk. Vijana wengi hawajali na wabishi. So usisikie tu ohhh. Lockdown nk. Mijitu Hii mibiishi na imechokaaaa sana.
Sasa kama huko ulaya wanafanya hivyo si utegemee huku kwetu si ndiyo balaq zaidi. Wanaazimana barakoa. Yaani ukirudi nyumbani unaivua barakoa yako unampa mwenzako anaivaa ili naye atoke. Barakoa moja inavaliwa kwa wiki moja hadi mwezi bila hata kufuliwa. Inavaliwa pua ikiachwa wazi. Inashikwa shikwa kila mara, tena inashikwa ile sehemu ya nje iliyo trap virusi vya corona na kadhalika. Yaani barakoa inakuwa ndiyo njia mojawapo ya kusambaza virusi. Masharti ya matumizi ya barakoa ni kwamba inabidi ibadilishwe kila baada ya masaa 2, yaani kwa siku unahitaji barakoa 12 na bei ya kila moja ni TZS 3,000. Kwa mtu anatakiwa kutumia TSh 36,000/ kwa siku wakati hata mlo wake kwa siku hauzidi buku moja!Barakoa zinasaidia mkuu. Shida kubwa, hasa hapa Ulaya Ni namna ya uvaaji Barakoa, aina ya Barakoa kurudia kuvaa barokoa hata kama zimepata moisture and little or no social distancing hasa kwenye baadhi ya maeneo mfano ndani ya Tram.
Pia, wazungu wengi wanadharau sana na huandamana Mara kwa Mara bila kuobserve Social distancing
Na nyuma kidogo wamama walikuwa wanafua zile Barakoa wanazovaa watu ukiingia ICU nk. Vijana wengi hawajali na wabishi. So usisikie tu ohhh. Lockdown nk. Mijitu Hii mibiishi na imechokaaaa sana.