Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ulimwengu ulimtambua bila ya kusafiri kokote ukiona wazungu wanakubeza ujue umewashika pabaya!
Hata Hitler leo ulimwengu unamtambua---- kutambulika sio maana yake kwamba wewe ni mwema pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimwengu ulimtambua bila ya kusafiri kokote ukiona wazungu wanakubeza ujue umewashika pabaya!
kwa kula vichwaWeka facts mezani; mwamba wa AFRIKA kwa lipi?
Ww ni Kibaka heri mwizi ana nafuuSasa unalinganisha kifo changu mimi na kifo cha Magufuli?Mjinga ni wewe ambae hujui sayansi ya kulinganisha vitu.
Sasa unanilinganisha mimi na mwizi wa kura?Unalinganisha kifo changu na kifo cha mwizi wa kura ambae alilinyima Taifa zima haki?!Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?
Mwenye chuki ni yeye ambae alikuwa anapambana kukuza ukabila,udini hadi ubaguzi wa rangi.Halafu tokea uhuru hakuna Rais ambae amepiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni.Ripoti ya CAG profesa Assad ilitufumbua macho kuwa Serikali ya Magufuli ilikuwa imeoza.Wewe una chuki tu, tokea Magufuli anaingia madalakani haukuwahi kuona mazuri yake hata moja badala yake unaona mabaya tu, hili nalo ni tatizo.
Unanilinganisha mimi na Magufuli?Yaani unalinganisha kifo changu mimi na kifo cha Magufuli?Lakini hata hivyo sote tutaondoka duniani kila mtu kwa wakati wake, kwahiyo usijuvunie sana.
Magufuli katangulia sisi zamu yetu inakuja jiandae.
Hiyo ID yako hapo kwenye jina la mwisho pabadilishe kutoka shily kuwa shit.Ww ni Kibaka heri mwizi ana nafuu
Mwamba wa Africa amelala paleMwamba wa AFRIKA! Kwa lipi aliloifanyia AFRIKA?
Nyinyi mna matatizo kwenye mbongo zenu.......Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Mkuu, tukikuita we mwendawazimu tutakua tumekoseaHakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Mwendawazimu ni Bwana Chato ambae:Mkuu, tukikuita we mwendawazimu tutakua tumekosea
Makalio @makatoonSasa unalinganisha kifo changu mimi na kifo cha Magufuli?Mjinga ni wewe ambae hujui sayansi ya kulinganisha vitu.
Sasa unanilinganisha mimi na mwizi wa kura?Unalinganisha kifo changu na kifo cha mwizi wa kura ambae alilinyima Taifa zima haki?!Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?
Inatakiwa upuiziwe doom wewe dudusMwamba wa AFRIKA! Kwa lipi aliloifanyia AFRIKA?
... sawa puliza hata DDT; nimeuliza swali rahisi sana; mwamba wa Afrika kwa lipi aliloifanyia Afrika? Na Nyerere tumwiteje?Inatakiwa upuiziwe doom wewe dudus
😂😂😂😂
Jibu Swali alilouliza, mbona jepesi tu, kwako limekuwa gumu?Tunamkumbuka sisi mwamba wa africa so we kima tulia
Mama kaanza kupanda pipa kitambo, tangu JPM akiwa bado yupo hai. Ana uzoefu wa uongozi wa kimataifa wa kitambo tu.Kwahio Mama yako alivyo okota pochi barabarani saizi anahudhuria mikutano nakuhubili habari ya korona na bidhaa za viwandani kupanda bei mara dufu ndio nafuu kwako fala wewe
Isingejengwa nyumba pia mgesemaKaburi limejengewa nyumba
Muulize Idugunde maana yeye ndiye mlinzi.Vipi kile kiti pale kwa angle huyo mlinzi anakesha hapo kulinda aliyelala kwani hizo vigae ni dhahabu?
Si ashajengewa kuna haja ya mlinzi?
Kwa hiyo hujui nyerere anaitwaje?... sawa puliza hata DDT; nimeuliza swali rahisi sana; mwamba wa Afrika kwa lipi aliloifanyia Afrika? Na Nyerere tumwiteje?
... mwamba wa Afrika kwa lipi? Hiyo ndio hoja ya msingi.Kwa hiyo hujui nyerere anaitwaje?