Picha: Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima kwenye kaburi la Hayati Magufuli

Picha: Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima kwenye kaburi la Hayati Magufuli

Dikteta mwenzako katangulia..una kitu cha kujifunza hapa.
 
Huyo si Museven......kamwe hawezi kwenda chato...saana Mwitongo!!!!
 
Siku ile kichwa kilikuwa kwa kule sasa imekuwaje tena, anyways naona imani zimefanyakazi.

Mpeni salaam huyo Mheshimiwa M7.
 
Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Walimu feki jamaa aliwatumbulia mbali, yani walio faulu wapo halafu nyinyi ma-failure ndo mfundishe watoto wetu? muwaambukize ujinga?
 
Walimu feki jamaa aliwatumbulia mbali, yani walio faulu wapo halafu nyinyi ma-failure ndo mfundishe watoto wetu? muwaambukize ujinga?
Kama alikuwa mkweli mbona alishindwa kumtumbua Bashite na cheti chake fake?
 
Back
Top Bottom