Picha: Rasta zinavyoweza kubadilisha muonekano kwa watoto

Picha: Rasta zinavyoweza kubadilisha muonekano kwa watoto

Yani hapo mnamkomaza mtoto tu Mpaka afikishe miaka 15 Kama mtu mzma vile. By the way hiyo yote ili amridhishe nani?

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
 
Kila kitu fake. Minywele ya makafara ya wahindi kuwatwika watoto
 
Upumbavu mtupu...mtoto furaha yake imeumbwa na Mungu katika vitu rahisi/simple...mfano...michezo kwa vitu simple kama vifuniko vya vinywaji...pipi nk
Hayo mambo yenu ni kumuongezea complications za furaha yake ambazo hazimatch ama hazisupport brain growth needs zake katika maisha mwisho Wa siku unaweza spoil future yake yote

carnte himself
Umeongea vyema kabisa mkuu
 
Nimeshamwamuru mama yake ampeleke mtoto wakazikate. Kwanza sura ya mtoto inakakamaa, nafikiri kuna maumivu kutokana na nywele kuvutwa wakati wa kusuka na hata baada ya kusuka. Uzuri mtoto mwenyewe aliridhia kukatwa nywele.
Hapo bado sijaongelea 10,000/= za kila wiki kuziweka hizo rasta sawa.

Watoto ulimbwende watafanya wenyewe wakishakua.
Umeongea vyema mkuu
 
beautiful-black-baby.jpg
 
Uwiiii.. Jamani give these little angels a break and let them enjoy their childhood.. ya nini kuanza kuwabebesha kilo tano kichwani at that tender age? waacheni wakikua watafanya wenyewe.. kwa kweli as a parent hapana..
 
Sio lazima kila wakati watoto wetu tuwasuke vidole vya maputo au kuwavisha vikofia vilivyosukwa kwa uzi. Mtoto pia anaweza kusukwa rasta simple kabisaa na akapendeza vizuri. Kina mama hata kina baba pia tuwapendezeshe watoto wetu kwa namna tofauti

View attachment 577220 View attachment 577221 View attachment 577222

Ni kweli wanapendeza, ila kama unampenda mtoto wako nakushauri kutomsuka nywele, maana ngozi ya vichwa vyao bado laini, hivyo unapomsuka unadsturb misuli ya kichwa kitu ambacho kinaweza pelekea mishipa ya damu kuziba na kusababisha kifo
 
Mtt asiaukwe as wataalam wanadai sura zao ni laini i mean ngozi yao so wasukwe wakifika 12 au 18

Mwanang hasukwi ana liafrooo tuu
 
Mnawakomaza watoto sura kama kitoto ni kizuri ni kizuri tuu hata kisiposukwa kinaonenaka kizuri na kama sio kizuri kikisukwa kinaonekana kama ki MTU kizima
 
Back
Top Bottom