GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,225
Kote ni kumuongezea mtoto complications.... Ujinga mtupu
carnte himself
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kote ni kumuongezea mtoto complications.... Ujinga mtupu
carnte himself
Itakuwa poa ukijifungua mwezi niliozaliwa mimiJamaniii mwezi wa kumi na mojaufike namm nipate mtoto..
Daah atafaidi sana..
Wangu huwa anasukwa na *****.
Kweli wanapendeza lakini mi naona nikuwatesa tu watoto jaman maana kuna mikono mingine inaumiza sasa hapo unakuta mtoto kavutwa hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Dumee kuna manzi ndio ananiletea mtoto miezi ijayoo..
Kabisaa jamani,binafsi siwezi kumsuka mwanang hata kidogo ukiliacha hilo watoto wanakomaa sura haraka sanahizo rasta hazifai kuwafinya nazo watoto kichwani si nilisikia kuna mmoja alifariki baada misuri ya kichwa kukaza sana
Mama anafurahia mwanangu kapendeza huku mtoto anaugulia maumivu Jamani mtoto ashindwe hata kugeukaukitaka uzuri lazima uzurike. fomula😀
HongeraJamaniii mwezi wa kumi na mojaufike namm nipate mtoto..
Daah atafaidi sana..
Kuna watu wanakaza nywele hadi chozi linatokaMtoto aachwe awe mtoto jamani, tunawakomaza watoto bure na kuvutwa vutwa kichwa,
Imagine uyo ni mtu mzima sasa yani kichwa kinauma usiku kucha sembuse katoto.