Picha: Ray C amtembelea Lady Jaydee

Yule maarufu sio supastaa
 

kuna uchochoro wake hapo wenye gereji bubu
 
Kuna kipindi wote walikuwa wasanii Na wote walikuwa watangazaji wa wafu fm enzi wafu fm ipo magarofani
 
Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
aise utazani tulikua tunafikiri pamoja nimeona kimpododo cha jide aise ni noma mdau
 
amekonda mpaka hilo gauni alilovaa linaonekana kama limening'inia kwenye henka vileee
 
Mbona kapungua ivyo... Jamani mi namuombea tu apone jamani.. Sipendi habari mbaya za kumuhusu yeye.
Jamani huyo ndo Ray C wasasa???? Sa mbona kakonda ivo au ndo diet ya Mange..mwee shikamoo Shkuba and associates
amekonda mpaka hilo gauni alilovaa linaonekana kama limening'inia kwenye henka vileee
Wabongo mnataka nn?kipindi kile kawa bonge mlichonga nao kapungua mnachonga???
 
Huyu Ray C alikua anagombea ubunge kupitia chama gani cha UKAWA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…