rasta got soul
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 234
- 114
C ndio mambo ya NDI NDI NDIII!!!Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C ndio mambo ya NDI NDI NDIII!!!Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
We utakua wa kike sasa anakusandia nn kwenye maisha ya kila sikuMbona kapungua ivyo... Jamani mi namuombea tu apone jamani.. Sipendi habari mbaya za kumuhusu yeye.
Yule maarufu sio supastaaJuzi yaani the day before yesterday nimemuona Ray C mwananyamala hospital akiwa na mateja wenzie kama watatu hivi. Asee yaani ni teja kabisaaa yaani teja kama wapiga debe unaowajua. Alikuwa kagombana na binti fulani basi Ray c anaropoka na kutukana hauwezi kuamini kwamba ni yule superstar.
Hata mie nashangaa, naona kapungua sanaJamani huyo ndo Ray C wasasa???? Sa mbona kakonda ivo au ndo diet ya Mange..mwee shikamoo Shkuba and associates
Juzi yaani the day before yesterday nimemuona Ray C mwananyamala hospital akiwa na mateja wenzie kama watatu hivi. Asee yaani ni teja kabisaaa yaani teja kama wapiga debe unaowajua. Alikuwa kagombana na binti fulani basi Ray c anaropoka na kutukana hauwezi kuamini kwamba ni yule superstar.
Rekebisha kauli yako...kuumuka gani???hujakutana na chura!!!!Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
aise utazani tulikua tunafikiri pamoja nimeona kimpododo cha jide aise ni noma mdauWeh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
Mbona kapungua ivyo... Jamani mi namuombea tu apone jamani.. Sipendi habari mbaya za kumuhusu yeye.
Jamani huyo ndo Ray C wasasa???? Sa mbona kakonda ivo au ndo diet ya Mange..mwee shikamoo Shkuba and associates
Wabongo mnataka nn?kipindi kile kawa bonge mlichonga nao kapungua mnachonga???amekonda mpaka hilo gauni alilovaa linaonekana kama limening'inia kwenye henka vileee
Kama unam fatilia insta picha anazo post na hii ni tofauti... Tuna mapenzi mema na yeye... Mungu amsaidie tuWabongo mnataka nn?kipindi kile kawa bonge mlichonga nao kapungua mnachonga???