Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Kwenye wikipedia yake wameandika kazaliwa 1979Hajawahi kutaja umri wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye wikipedia yake wameandika kazaliwa 1979Hajawahi kutaja umri wake
Yes ni kweli. Lakini yeye mwenyewe hajawahi kusema..hata akiulizwa huwa hasemi.Kwenye wikipedia yake wameandika kazaliwa 1979
amekimbizwa muhimbili asubuhi ya leo endelea kumuombea..................................Everybody deserve a second chance. Namtakia kila lililo jema
#makapukuforlife
#makapukuforchange
Kuna kipindi aliwahi kuulizwa akasema ana miaka 37..Hapo ni miaka kama mitano iliyopita..Labda alikuwa anazinguaYes ni kweli. Lakini yeye mwenyewe hajawahi kusema..hata akiulizwa huwa hasemi.
ahahaha mvi zikianza kuota ndo tutajuaYes ni kweli. Lakini yeye mwenyewe hajawahi kusema..hata akiulizwa huwa hasemi.
na leo kakimbizwa muhimbili hali imekuwa mbaya rcMbona kachoka hivyo au my macho jamani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sembe tembele bamia.
Bongo hata ukiaga dunia unasimangwa seuse kunenepa au kukonda?Wabongo mnataka nn?kipindi kile kawa bonge mlichonga nao kapungua mnachonga???
Naona Sembe imemkubali kweli kachana ile mbaya.Ni wazi Rayc karudi kwenye sembe