Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo katoka kanisani kuombewa,Ndani ya dakika moja unampokea Yesu na anakubadikishaKaokoka lini? mbona kwa maelezo ya Lady Jaydee kwenye iyo picha ni wazi kwamba Ray C karudi kwenye unga!?
Kaokoka lini? mbona kwa maelezo ya Lady Jaydee kwenye iyo picha ni wazi kwamba Ray C karudi kwenye unga!?
Hapo kuna cha kufaidi kweli mkuu?Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
inawezekana hata mm naiona km ya looong jide wa sasa si huyuhii picha ni ya zamani sana, na nakumbuka jay dee aliwahi kuiweka kwenye blog yake.
Hata Ray C alikuwa akidhani anavuta bangi kumbe Lord Eyes anamchanganyia na drugs huku akimwambia ni cha Arusha,bangi nzuri ni ya kunyonga mwenyewe na kuwa na pusha umwaminie tofauti na hapo wengi wamejikuta magari yamewaka bila kujua kwa kugongea bangi za wengine.Bangi itabaki kuwa the best kuliko Ngada..Amani kwa kaka Voda milionea wadogo zako wanazidi kula ngada wamesahau mmea
halafu wewe mchokozi kweli, jamani mtu anaoneaka beutyHivi huyo Lady Jayzee ana umri gani? Maana anaonekana kibibi kweli!
kuna kipindi walikua wanachuana na jide, ila kwa viuno tu jide alipigwa vya mbavuMi naupenda sana ule unaitwa mapenzi matamu... ray c alikuwa anatoa hits tuu, kuna kipindi hadi jide alikuwa anakaa sema basi watu walikuwa wanamdiss ray c kwa kuwa alikuwa sista duu kinoma and ofcourse alikuwa anachafua boxa zao huku wakijua hawatompata..m
Ray c tafadhali kaa chini na jaribu kujiweka sawa uyashinde nguvu madawa
Ana Umri wa dada ako ambaye yupo hapo Home hajaolewahalafu wewe mchokozi kweli, jamani mtu anaoneaka beuty