Picha: Reli ya gharama kubwa, ajabu, vichwa vya treni yenyewe vya ajabu ajabu

Picha: Reli ya gharama kubwa, ajabu, vichwa vya treni yenyewe vya ajabu ajabu

Wale maadui wa Taifa aliowaorodhesha mwl. Nyerere alisahau kuiweka Ccm kwenye ile list
 
Wahuni wameshapiga 10% kitambo. Kwa sasa wanakula tu mafao yao.
 
Unataka biriani kwa hela yako ya ugali dagaa?
Unajuaje pesa iliyopelekwa kama sio ya kuweza kununua genge zima let alone biriani ? (Unajua cost ya hilo dude na mchakato mzima mpaka leo) ? Binafsi sijui ila sitashangaa nikiambiwa kwa pesa iliyoshachomwa, tungeweza kupata maradufu ya tunachopata (Hio ni kawaida ya hii nchi ya wapiga deals)

Ndio narudi palepale pa kila siku (we need full transparency)
 
Back
Top Bottom