PICHA: Republican waanza kuabudu sanamu ya dhahabu ya Trump

PICHA: Republican waanza kuabudu sanamu ya dhahabu ya Trump

Status
Not open for further replies.
Mimi sijazalau imani ya mtu mwingine,najalibu kulinganisha hivi vitu Kwa kizazi cha sasa hivi je vinauhalali wa kuwepo,au kutumika,inawezekana watu wengi wamechoshwa na hayo mambo ya sanamu lakini hawana pa kusemea
Hizo ni imani za watu wengine ndugu..hata kama wako tafauti na wewe haimaniishi kwamba wewe upo sahihi katika imani yako hapana.Sisi sote tunaelekea mahali moja kwa njia tofauti hivyo hakuna sababu ya kuzua vurumai kwa binaadam wengine halafu wewe utarajie kuwa bora hapana. Heshimu mipaka yako juu ya shughuli za wengine uwapo duniani.
 
Mimi sijazalau imani ya mtu mwingine,najalibu kulinganisha hivi vitu Kwa kizazi cha sasa hivi je vinauhalali wa kuwepo,au kutumika,inawezekana watu wengi wamechoshwa na hayo mambo ya sanamu lakini hawana pa kusemea
Mkuu wew ni kabila gani? Nikisema ni msukuma nakuwa sahihi au nimekosea? Au nikisema wewe ni Mataga je ni tusi kwako au ni sifa?
 
Video ingefaa zaidi tujiridhishe pasi shaka kuwa ni ibada au wanaishangaa sanamu.

I will surely miss his hilarious jokes and comedy
Hey you're in stealth mode I can't tract you.. Can you please turn on your transponder so that I can track you✌️
I beg
 
Ndio maana Watanzania tunadharaulika kwa kuwa simple minded. Hiyo picha ni Photoshop.

Ungekuwa unajua kidogo walau waliopo kwenye picha na kutumia chembe ya ubongo wako usingewapaka matope bure.

Chukua na hii kapige photoshop halafu useme Trump amekuwa mungu kabisa ili ufurahie zaidi

View attachment 1715344
Usijitie kujua kila kitu.
Pole.
 
Ku
Hizo ni imani za watu wengine ndugu..hata kama wako tafauti na wewe haimaniishi kwamba wewe upo sahihi katika imani yako hapana.Sisi sote tunaelekea mahali moja kwa njia tofauti hivyo hakuna sababu ya kuzua vurumai kwa binaadam wengine halafu wewe utarajie kuwa bora hapana. Heshimu mipaka yako juu ya shughuli za wengine uwapo duniani.
Kuna kuheshimu na kuelimishana,labda nikuulize kiundani kabisa,kuna mtu mwenye Image au sura sahihi ya Yesu na bikila Maria,na ni lini sanamu zilianza kutumika kanisani na Nani aliyeamuru,labda hujui ili tukueleweshe
 
Mkuu wew ni kabila gani? Nikisema ni msukuma nakuwa sahihi au nimekosea? Au nikisema wewe ni Mataga je ni tusi kwako au ni sifa?
Mimi sio msukuma,ila nilikuwa mkatoliki nilibatizwa nikapata kitubio,kumunyo na kipaimara,mpaka ndoa.lakini haya mambo ya kuziheshimu sana tulizozichonga wenyewe na kubusu misalaba siku ya ijumaa kuu,na kumbusu mtoto Yesu ndivyo vilivyonishinda,
Sijui mwenzangu kama bado unaendelea na hayo mambo
 
Picha hiyo ni feki, picha halisi ni hii alikuwa anaombewa.

800.jpeg
 
Mbona hio picha ime editiwa

Kweli nimeamini hakuna viumbe rahisi wengi kuwa brainwashed kama wa afrika
 
Trump amewafanya misukule. Aliwa radicalise kikamilifu.

Check hata watetezi wake wa humu JF akili zao zimeshayumba kabisa.
Na wewe ulivyo kiazi mbatata unaamini kabisa hiyo picha ni real sio photoshop.Sasa wewe una akili gani kuwazidi wafuasi wa Trump??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom