Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Halafu binamu tupange siku tukamsalimie dada k-lyn aka bosslady halaf unajua toka ajifungue sijaenda kumuona mwenzio? Twende mwenzangu tukampe na umbea wa mama ubaya na ndomo maana bibi yule nae kwa umbea anapenda kiama, anakwambia ukienda kumuona bora uende mikono mitupu kuliko kutoenda na umbea, yani binam siku iz kila mtu mbea mweh
Halafu binamu tupange siku tukamsalimie dada k-lyn aka bosslady halaf unajua toka ajifungue sijaenda kumuona mwenzio? Twende mwenzangu tukampe na umbea wa mama ubaya na ndomo maana bibi yule nae kwa umbea anapenda kiama, anakwambia ukienda kumuona bora uende mikono mitupu kuliko kutoenda na umbea, yani binam siku iz kila mtu mbea mweh
Hahahaha we warumi una kipaji hakika! Daaa nimecheka sana daa!
Chezea Warumi aka binamu ww
Hahaaa haaaa nakupenda bure kwa habar tu tishaaa sn
Ntakupeleka tutaenda ila iwe kati kati ya wiki maana mzee mengi hapendag watu kwake hata ndugu ,sema mkewe ndo umbea umemzidi, ukitaka uwe best wa k-lyn mponde madam ritha na jokate wee mbona mtapatana mwenzio nshahaidiwa ajira ya kudumu kwenye shule anayojenga dada k-lynn mbona watakoma mtaa wa pili? Umbea unalipa binamu mjini apa