Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Halafu binamu tupange siku tukamsalimie dada k-lyn aka bosslady halaf unajua toka ajifungue sijaenda kumuona mwenzio? Twende mwenzangu tukampe na umbea wa mama ubaya na ndomo maana bibi yule nae kwa umbea anapenda kiama, anakwambia ukienda kumuona bora uende mikono mitupu kuliko kutoenda na umbea, yani binam siku iz kila mtu mbea mweh
Hahaha binamu kwa umbea tu nimekupa salute, umeshindikana kiama. Nimecheka balaa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums