Picha: Sababu za kiroho kwa nini Simba wanaogopa kupeleka timu uwanjani

Picha: Sababu za kiroho kwa nini Simba wanaogopa kupeleka timu uwanjani

Hivi mpira ungekuwa ni uchawi, basi Nigeria si wangeshinda World Cup. Mbona mna-kuwa na akili ndogo hivyo.
Ifike mahali tubadilike na tuanze kuamini kwenye vitu vya msingi kama Good Training Facility, Good Coaching Team, Good Playing Ground, Good Football Management Structure, Good Investment in Youth Soccer, Good Players Wages, Good Players Accomodation and so on. Hapo kwa nini usiwe Champion, ili uwe bingwa inahitaji Investments katika kila field ya mpira wa miguu ndipo mafanikio yalipo na sio uchawi.
 
Hivi mpira ungekuwa ni uchawi, basi Nigeria si wangeshinda World Cup. Mbona mna-kuwa na akili ndogo hivyo.
Ifike mahali tubadilike na tuanze kuamini kwenye vitu vya msingi kama Good Training Facility, Good Coaching Team, Good Playing Ground, Good Football Management Structure, Good Investment in Youth Soccer, Good Players Wages, Good Players Accomodation and so on. Hapo kwa nini usiwe Champion, ili uwe bingwa inahitaji Investments katika kila field ya mpira wa miguu ndipo mafanikio yalipo na sio uchawi.
Nigeria hawana uchawi ni movies tu
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SIMBA NA YANGA NI UPUMBAVU HAMUELEWI
 
Back
Top Bottom