Picha: Shamila (Shamy_BK) ndio mrembo mwenye shepu kwasasa bongo

Sijui nini kimenituma kwenye hii thread najikuta narudirudi juu nashuka page za chini najikuta tena nimerudi page za juu.Shetani ashindwe nisiende huko telegram.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapo kweli akili za kindezi hakuna ubishi Mkuu!!
 
Huyo Posh mchina tu ila huyu Shamy namjua kitambo sana hata kabla haya mambo ya mchina hayajaingia mjini alikuwa na shape moja kali sana kuliko hili.
 
Namuona Instagram ni mmiliki wa duka
Lakini telegram anauzwa kwa laki moja tu..
Sijawahi elewa wapi ndo kuna ukweli..

Same with sanchoka
Telegram anauzwa
Instagram ni star..

Sijawahi elewa wapi ndo uongo wapi ukweli
Nitampataje huko telegram?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…