Picha: Shujaa wa Tanganyika anayetetea rasilimali za Watanganyika toka enzi na enzi

Picha: Shujaa wa Tanganyika anayetetea rasilimali za Watanganyika toka enzi na enzi

Maisha faragha ya mtu sie yanatuhusu nini, kula na kuliwa wanafanya hivyo wengi tu. Tujikite kwenye mjadala hayo ya kunyandua si issue
Maadili mema ya kiongozi huanzia kwenye ngazi ya familia,hata hilo hulijui? Au mahaba yako kwa huyo mtu ndio yanakutoa ufahamu?
 
Maadili mema ya kiongozi huanzia kwenye ngazi ya familia,hata hilo hulijui? Au mahaba yako kwa huyo mtu ndio yanakutoa ufahamu?
hapana, kuhusu maadili ya familia wengi hawana na ni waheshimiwa. Kule tu kuishi bila mume/mke wakati huna tatizo la maumbile/afya ni ukosefu wa maadili. Kuhusu kusanua mambo ya faraghani wengi wanafanya mpaka wanavuka mipaka. Tuangalie maadili ya uongozi
 
Slaa kwenye papuchi ni kama kalogwa. Alikuwa anatafuna Cecy Pareso yule wa kwenye Covid19. Baba wa Cecy na Dr Slaa ni wana ukaribu sana.

Yeye Slaa ndo alimpatia ubunge wa viti maalum wakati Mbowe akimpatia Joyce Mukya. Cecy ni kilaza promax alirudia mtihani wa form four zaidi ya mara tatu. Nikashangaa kawa mbunge viti maalum kumbe ni chakula ya Padri aliyeasi.
Mbona hata Bibi yenu alikuwa anatufunwa zero brain Bashite!.
 
Back
Top Bottom