Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yaani kuna wanaume wengine kama walikunywa maji ya uzazi wakati wanazaliwa.
Au walivutwa kwa Vacuum.
Asa nishamwambia huyo hawara yake aliyenipiga ban, anipige na hii.
Nina kama 26 hivi
kwani mmefanyana.nini mbn it was utani pale yakaisha au mna mabifu yenu au mmenyimana